figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Musoma na rorya wamepewa kivuko, lakini cha ajabu wametofautiana kivuko kilale wapi. Musoma wanataka kivuko kilale Musoma na Rorya wanataka kivuko kilale kwao.
Mbaya zaidi kamati ya ccm imekaa kikao kujadili langi ya kivuko wakidai rangi za kivuko zinafanana na rangi za chadema. Wameongeza kwamba kilipo letwa vijana walikua wakishangilia wakionesha alama ya vidole viwili wakati kivuko waliokuwa wabunge wa ccm ndo walio kiomba. kivuko kina rangi za blue, nyeupe, nyeusi na nyekundu kwa chini.
Mia
Mbaya zaidi kamati ya ccm imekaa kikao kujadili langi ya kivuko wakidai rangi za kivuko zinafanana na rangi za chadema. Wameongeza kwamba kilipo letwa vijana walikua wakishangilia wakionesha alama ya vidole viwili wakati kivuko waliokuwa wabunge wa ccm ndo walio kiomba. kivuko kina rangi za blue, nyeupe, nyeusi na nyekundu kwa chini.
Mia