- Thread starter
- #41
Pole bi dada, nakumbuka umesema kuna rafiki aliyewashauri mfunge ndoa kwa bomani,
sasa basi ushawahi kumweleza hayo matatizo maana huenda ni jamaa ake wa karibu aweza zungumza nae
mkasolve hilo tatizo.
hakuwa rafiki kihivyo ni mtu ambaye tuliintroduziwa na friend yeye ndo atueleze maisha ya huko tuendapo.
labda ningefurahi niambiwe naanzaje hata hizo process za kuvunja hiyo ndoa maana yamenifika kooni.