Preta, niko na machalii zangu, lakini kuna nafasi moja imebaki, unakaribishwa..................
Nimemfuata mama Ngina huku Arusha, maana Dar hapakaliki
Ni wiki ya tatu yuko huku, unadhani nitamudu kuwa peke yangu kweli!
ahaa....hiyo ni kweli......na hii hali yetu ya hewa karibu sana......nadhani utaipenda......
Nawasubiri wenyeji wanikaribishe na kunionyesha viwanja vya Nyama Choma.ahaa....hiyo ni kweli......na hii hali yetu ya hewa karibu sana......nadhani utaipenda......
Nawasubiri wenyeji wanikaribishe na kunionyesha viwanja vya Nyama Choma.
Sijui Kwa Sifaa, bado iko Nyama Choma?
Nmesahau Matongee Cannival sijui nako kuna kitu gani kipya,..................................