Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
Mwanzo kabisa nilikuwa natumia hii
Sasa nikagundua kila nachoandika watu wananishambulia na kunitukana bila hata sababu, nakwambia wakawa wanani-embarrass hadi wakanisababishia BAN! Nikafikiriii! Nikagundua hawa hawajaipenda sura yangu wanadhani mi zezeta. Nilivyobadili tu sijashambuliwa wala kutukanwa na mtu tena! Nikasema aaahaaaa!
Sasa nikagundua kila nachoandika watu wananishambulia na kunitukana bila hata sababu, nakwambia wakawa wanani-embarrass hadi wakanisababishia BAN! Nikafikiriii! Nikagundua hawa hawajaipenda sura yangu wanadhani mi zezeta. Nilivyobadili tu sijashambuliwa wala kutukanwa na mtu tena! Nikasema aaahaaaa!