Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,933
- 31,178
- Thread starter
- #21
Dear Preta.
Sanawari maji ni mengi kwasababu visima vimejengwa eneo hili.hata umeme ni nadra sana kukata najuuuuta kuhama Sanawari.Bibi wewe unaishi maeneo yapi ?.
Sanawari maji ni mengi kwasababu visima vimejengwa eneo hili.hata umeme ni nadra sana kukata najuuuuta kuhama Sanawari.Bibi wewe unaishi maeneo yapi ?.
huko kusiko na maji ni wapi?....au mi naishi Arusha ipi?....au idara ya maji wananipendelea mie tu....poleni sana wapenzi....