Kaduguda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2008
- 724
- 641
Wana jamvi, kuuliza si ujinga maana nataka kujifunza kama si kueleweshwa kiufasaha.
Nina shahada yangu ya kupigia kura ambayo nalijiandikisha wakati nikiwa mwanafunzi chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Sasa nimemaliza shule na nimerudi kwetu mkoani, je nawezaje kuitumia haki yangu ya kupiga kura kupitia shahada yangu? Maana sidhani kama nitakuwa na uwezo wa kurudi jimbo la Ubungo kwa mzee Keenja nikapige kura kule. Nifanyeje katika hili?
Nawakilisha!
Nina shahada yangu ya kupigia kura ambayo nalijiandikisha wakati nikiwa mwanafunzi chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Sasa nimemaliza shule na nimerudi kwetu mkoani, je nawezaje kuitumia haki yangu ya kupiga kura kupitia shahada yangu? Maana sidhani kama nitakuwa na uwezo wa kurudi jimbo la Ubungo kwa mzee Keenja nikapige kura kule. Nifanyeje katika hili?
Nawakilisha!