TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
Ukifika ofisini zipo taratibu zetu za ndani za kufanyia kazi swala hiliUtaratibu huwa unakuaje hali kama hiyo inapojitokeza?
Ukifika ofisini zipo taratibu zetu za ndani za kufanyia kazi swala hiliUtaratibu huwa unakuaje hali kama hiyo inapojitokeza?
Sawa mkuuUkifika ofisini zipo taratibu zetu za ndani za kufanyia kazi swala hili
Nimegundua tayari nimeshauingiza...Tafadhali kama bado haujaitumia fika nao ofisi za eneo lako kwa hatua zaidi
Kuna ile code namba ya Malipo na huduma za serikali. Siikumbuki ila anaye jua ataiweka hapa. Ingia pale select luku kama umepoteza token kuna huduma pale unaandika namba ya luku then unaomba roken za muamala wa mwisho.. DoneWakuu habarini. Naomba kusaidiwa. nimefuta sms ya token ya Luku kwa mbaya.
Nifanyeje ili kupata umeme wangu? Kwa mwenye kujua msaada tafadhali
Wewe sio mtu mzuri....watoto watakula nini na ndio mshahara wote ndio huoAseee nimecheka sana.
Ohoo kumbe umeme umeshanunua tiyari mkuu. PoleNimegundua tayari nimeshauingiza...
1. Je kuna madhara gani ya kulipa kiasi kikibwa? Service charge za kila mwezi je?
2. Kuna uwezekano wowote wa kurudishiwa pesa kidogo ili watoto waendelee kula ugali?
Ahsante
duh POLE SANA AISSEHabarini ...Nimenunua umeme wa Luku wa shilinhi Laki tano badala ya Elfu hamsini. Msaada nifanye nini nirudishiwe fedha yangu Tshs. 450,000?
Hakuna service charge ilifutwa toka mwaka 2016, hakuna tatizo kununua umeme mwingiNimegundua tayari nimeshauingiza...
1. Je kuna madhara gani ya kulipa kiasi kikibwa? Service charge za kila mwezi je?
2. Kuna uwezekano wowote wa kurudishiwa pesa kidogo ili watoto waendelee kula ugali?
Ahsante
Swali namba mbili bado sijajibiwa tafadhaliHakuna service charge ilifutwa toka mwaka 2016, hakuna tatizo kununua umeme mwingi
Kama uliinunua kwa mtandao wa simu wapigie hiyo mobile operayor watakutumua hiyo smsWakuu habarini. Naomba kusaidiwa. nimefuta sms ya token ya Luku kwa mbaya.
Nifanyeje ili kupata umeme wangu? Kwa mwenye kujua msaada tafadhali
Ila Mungu anakuonaToken ya buku unalialia
Nilifaulu mkuu. Tigopesa kuna menu pale imetatua tatizoKuna ile code namba ya Malipo na huduma za serikali. Siikumbuki ila anaye jua ataiweka hapa. Ingia pale select luku kama umepoteza token kuna huduma pale unaandika namba ya luku then unaomba roken za muamala wa mwisho.. Done
KaribuNilifaulu mkuu. Tigopesa kuna menu pale imetatua tatizo