The comeback maestro
New Member
- Jan 26, 2022
- 2
- 6
Habarini za mchana wana JF,
Hivi ni mimi peke yangu napata shida ya kununua umeme au ni tatizo na kwa wengine?
Nimekuwa nikihangaika kununua umeme tangu asubuhi lakini naambiwa mpokeaji amefungiwa (Airtel) na muamala wako haukukamilika (Tigo).
Msaada tafadhali kwa mwenye kufahamu juu ya hilo.
====
Hivi ni mimi peke yangu napata shida ya kununua umeme au ni tatizo na kwa wengine?
Nimekuwa nikihangaika kununua umeme tangu asubuhi lakini naambiwa mpokeaji amefungiwa (Airtel) na muamala wako haukukamilika (Tigo).
Msaada tafadhali kwa mwenye kufahamu juu ya hilo.
====