Tatizo la kununua luku

Jan 26, 2022
2
6
Habarini za mchana wana JF,

Hivi ni mimi peke yangu napata shida ya kununua umeme au ni tatizo na kwa wengine?

Nimekuwa nikihangaika kununua umeme tangu asubuhi lakini naambiwa mpokeaji amefungiwa (Airtel) na muamala wako haukukamilika (Tigo).

Msaada tafadhali kwa mwenye kufahamu juu ya hilo.

====

IMG_1212.jpeg
 
Habarini za mchana wana jf....hivi ni mimi peke yangu napata shida ya kununua umeme au ni tatizo na kwa wengine?nimekua nikihangaika kununua umeme tangu asubuhi lakini naambiwa mpokeaji amefungiw(airtel) na muamala wako haukukamilika(tigo)..msaada tafadhali kwa mwenye kufahamu juu ya hilo.
Kote luku haipatikani
 
Inasemekama mayahudi yamedukua mfumo wetu wa luku kwa sababu eti tumekataa kuwalaani Hamas kwa walivyowavyeka mayahudi tarehe 7 mwezi wa 10.

Sasa najiuliza tutawalaanije watu wanaojitetea kupambania nchi yao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom