imenikumbusha yule jamaa ambae wageni walikua wakija kwake kila siku wanashangaa kikopo cha tooth pick ambacho wanatumia kila siku wakila hakiishi..! baada ya kumuuliza mwenye nyumba kua hua ananunua kipya kila siku..!? jamaa akawaambia "kila mkimaliza kutumia mkiondoka hua ninarudisha kwenye kikopo humu ndani..!!" jamaa akajiskia kutapika..!
Umefanya la maana sana mkuu,kwtu cc used ndo zetu,wacha tuone labda Arumeru leo watamenya kutoka kwnye karatasi au cjui ndo wataendeleza used culiculum!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.