peoples power JF-Expert Member Nov 2, 2010 475 100 Apr 16, 2012 #23 pole sana mkuu hiyo ni kazi ya mungu.
idawa JF-Expert Member Jan 20, 2012 25,284 38,312 Apr 16, 2012 #24 R.I.P babu..sijui kama na mimi nitafika huko.!
TaiJike JF-Expert Member Dec 14, 2011 1,483 666 Apr 16, 2012 #25 Pole sana Mkuu, MOLA awape faraja ktk kipindi hiki cha majonzi.
Pdidy JF-Expert Member Nov 22, 2007 50,956 22,148 Apr 16, 2012 #26 Pole sana mkuu ameacha watoto wangapi wajukuu najua zaidi ya mmoja pamoja na wewe....rip kidume cha mbegu mungu akulinde uendako
Pole sana mkuu ameacha watoto wangapi wajukuu najua zaidi ya mmoja pamoja na wewe....rip kidume cha mbegu mungu akulinde uendako