Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 745
- 633
Ndugu zngu wanajf,nimepigiwa simu sasa hvi nikiwa mbal kidogo na nyumbani,nilishtuka lakn ckuwa na jinc! Nilimpenda lakini mwenyezi Mungu kampenda zaidi,babu niliyekuwa nampenda sipo naye tena duniani!