Zombieboss
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 739
- 762
punguza stress na kuwa na matarajio makubwa/matarajio kwa ujumla, utaishi kwa furaha na kwa miaka mingiOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?