Nimefanikiwa kuhamisha pesa kutoka Sudani kuja Tanzania kwa njia ya mpesa

Tulia tulia
Tangazo lako limekaa kitapeli sana. Yaani wewe uhamishe hela kinyemela bila ya kufuata mfumo kwa kutumia mifumo ya Kampuni ya simu, inawezekanaje?

Kama siyo tapeli, maana yake unataka kutuambia ume-Hack mfumo wa Vodacoma jambo ambalo ni kosa la jinai. Hivi usalama wa mtoa fedha unahakikishwa na nani kwa mambo yanayofanyika kinyemela kama hili??
 
Tangazo lako limekaa kitapeli sana. Yaani wewe uhamishe hela kinyemela bila ya kufuata mfumo kwa kutumia mifumo ya Kampuni ya simu, inawezekanaje?

Kama siyo tapeli, maana yake unataka kutuambia ume-Hack mfumo wa Vodacoma jambo ambalo ni kosa la jinai. Hivi usalama wa mtoa fedha unahakikishwa na nani kwa mambo yanayofanyika kinyemela kama hili??
Watu kama ninyi mnatakiwa kutolewa jamii forum.
 
Tangazo lako limekaa kitapeli sana. Yaani wewe uhamishe hela kinyemela bila ya kufuata mfumo kwa kutumia mifumo ya Kampuni ya simu, inawezekanaje?

Kama siyo tapeli, maana yake unataka kutuambia ume-Hack mfumo wa Vodacoma jambo ambalo ni kosa la jinai. Hivi usalama wa mtoa fedha unahakikishwa na nani kwa mambo yanayofanyika kinyemela kama hili??
Yakikukuta siku ukiwa na shida nitafute nitakusaidia bure kabisa sihitaji pesa yako.
 
Watu kama ninyi mnatakiwa kutolewa jamii forum.
Kwenye maisha kila jambo linatakiwa lijengwe juu ya mantiki. Inawezekanaje utumie mfumo rasmi kukwepa mfumo rasmi bila kuudukua huo mfumo??

Ili hela itumwe kwa Mpesa ni lazima iwe kwenye mfumo wa Mpesa. Sasa wewe uliwezaje kuhamisha hela toka Sudan bila ya kutumia mfumo rasmi wa MPESA?
 
Kwenye maisha kila jambo linatakiwa lijengwe juu ya mantiki. Inawezekanaje utumie mfumo rasmi kukwepa mfumo rasmi bila kuudukua huo mfumo??

Ili hela itumwe kwa Mpesa ni lazima iwe kwenye mfumo wa Mpesa. Sasa wewe uliwezaje kuhamisha hela toka Sudan bila ya kutumia mfumo rasmi wa MPESA?
You have scam mentality, sorry.
 
Back
Top Bottom