data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
- Thread starter
- #81
Kwa ushauri sikiliza hii clip (nadhani ulikuwa bado kinda au hujazaliwa):-
ARUSHA TOWN CHOIR-KILA MTU NA MZIGO WAKE - YouTube
God Bless & Ramadan Karim!
!!!!!????????????
Kwa ushauri sikiliza hii clip (nadhani ulikuwa bado kinda au hujazaliwa):-
ARUSHA TOWN CHOIR-KILA MTU NA MZIGO WAKE - YouTube
God Bless & Ramadan Karim!
heee....!! Watanzania bana.
Asha d.. nawe hunisuuza....
Na AshaDii naye hukusuuza - wamekuwa watatu!
Mi' sisemi, kama uko serious utajiharibia, achana na public discussion, ongea na wahusika vis-a'-vis and tete-a'-tete!!
Ushauri wa bure.
bibie sipo kimahaba.. nipo kimaisha zaidi.. tatizo wa bongo tunawaza kinyume saaanaaa... MMMhhh Afro..
yote kumi.....
Mbona umeruka tisa au hiyo umemwachia mwenzio?
Kuna bibie humu JF.. nimejikuta tu.. nimempenda.. hii ni kutokana na michango yake.. anavyojiamini anapotoa hoja...ana msimamo... na husimamia anachokisema... naomba ushauri... naogopa kumtaja... nahofia endapo atakuja na Negative Response(mtizamo hasi)....
Thread ya "Who is The Finest?" imefungwa?
Makubwa
Nli dhani iko Chit chat
lakini siioni ..lohh
Umeniudhi hapo tu, maelezo mengine nimekukubaliUmeomba ushauri umepewa, hakukuwa na ulazima wa kumtaja; sasa unataja mara Afrodenzi, Rose1980, AshaDii. Unavyofanya ni kama vile unamtajia mpenzi wako kuwa mwanamke fulani nampenda. Kwani kila kitu kilichopo kichwani mwako lazima ukiseme? Unafikri huyo AD, Rose au AshaDii atkuonaje - na ninakwambia kwa mtindo huo kama utaendelea kutaja mara huyu, mara yule humu JF publically ujue utakayempata naye anatafuta taste nyingine tu! Watakuona hujatulia wewe! Mbona mimi ikitokea nimekuwa karibu na mwanamke yeyote ambaye si ndugu au jamaa yangu lazima nitamani kumdo lakini huwa sithubutu hata kufanya attempt kwa sababu nampenda mke wangu. Lkn pia najua nikiomba tu katika wanawake 1,000 atakataa mmoja naye itakuwa ni kwa sababu sijaendelea ku-make follow up!
Uwe serious kidogo, labda kama unatania!
<br />Mkuu usitoke nduki, jikaze na toa kilicho ndani ya moyo wako kama una kifua. Acha kuingia mitini banaaaa<br />
The truth shall set you free
Dena Amsi ulitaka nikutaje na wewe... bahati si yako... Niwaomba wani PM.. sasa wewe waingilia nin?
<br />Thread ya "Who is The Finest?" imefungwa? <br />
<br />
Makubwa
Umeniudhi hapo tu, maelezo mengine nimekukubali
Umeomba ushauri umepewa, hakukuwa na ulazima wa kumtaja; sasa unataja mara Afrodenzi, Rose1980, AshaDii. Unavyofanya ni kama vile unamtajia mpenzi wako kuwa mwanamke fulani nampenda. Kwani kila kitu kilichopo kichwani mwako lazima ukiseme? Unafikri huyo AD, Rose au AshaDii atkuonaje - na ninakwambia kwa mtindo huo kama utaendelea kutaja mara huyu, mara yule humu JF publically ujue utakayempata naye anatafuta taste nyingine tu! Watakuona hujatulia wewe! Mbona mimi ikitokea nimekuwa karibu na mwanamke yeyote ambaye si ndugu au jamaa yangu lazima nitamani kumdo lakini huwa sithubutu hata kufanya attempt kwa sababu nampenda mke wangu. Lkn pia najua nikiomba tu katika wanawake 1,000 atakataa mmoja naye itakuwa ni kwa sababu sijaendelea ku-make follow up!
Uwe serious kidogo, labda kama unatania!
Kama ulikuwepo akilini mwangu