Sasa unasubiri nini? We mchane live! Dondosha mistari hiyo......shauri yako we ngoja wenzako waje wakuwahi! Usiogope kukataliwa aisee, asipokuwa mpenzi wako anaweza akawa hata rafiki yako.
Naaaah...This has to be Lizzy.
kweli wewe umependaushauri wangu,bora usimtaje humu,wewe m pm mmalizane wenyewe.ila usiwe tapeli tu.maana wapo humu.usije ukamtaja akawa na wake humu humu.you don't know[/QUOT
akinipa negative response.. I'll get hurt... natamani niongee nae ktk simu
tatizo anajiamini sana... nitamuanza vipi... Unajua kuna wanawake hutuzidi wanaume ujuzi... anaweza akawa mmoja wao...
Hilo tatizo mkuu huko peke yako tuko wengi, mimi mmoja wapo. Sifichi na naweka wazi Shantel na Mwanajamiione wananisuza sana roho yangu kutokana na wanachokichangia hapa jamvini....yaani it's straight from their hearts. I wish ningekuwa na mwenza kama either of them. NawasilishaKuna bibie humu JF.. nimejikuta tu.. nimempenda.. hii ni kutokana na michango yake.. anavyojiamini anapotoa hoja...ana msimamo... na husimamia anachokisema... naomba ushauri... naogopa kumtaja... nahofia endapo atakuja na Negative Response(mtizamo hasi)....
Hilo tatizo mkuu huko peke yako tuko wengi, mimi mmoja wapo. Sifichi na naweka wazi Shantel na Mwanajamiione wananisuza sana roho yangu kutokana na wanachokichangia hapa jamvini....yaani it's straight from their hearts. I wish ningekuwa na mwenza kama either of them. Nawasilisha
<br />Na mie Naweka wazi.. ni <font color="#FF0000"><b>AFRODENZI.... na ROSE 1980.</b></font>.. I lurv them... natamani nikutane nao.. Naomba wani PM.. Let them give a gud response P'se... Natamani niongee nao ktk simu...
<br />kwani yupo free yaani hajaolewa?<br />
<br />
kuwa makini maana humu kuna hata wanaume wanajifanya wanawake, na wanawake wanajifanya wanaume<br />
<br />
humu watu wanakuwa katika fantasy world kuwa wasivyoweza kuwa maishani mwao<br />
<br />
haya wee kazi kwao
<br />Na mie Naweka wazi.. ni <font color="#FF0000"><b>AFRODENZI.... na ROSE 1980.</b></font>.. I lurv them... natamani nikutane nao.. Naomba wani PM.. Let them give a gud response P'se... Natamani niongee nao ktk simu...
sio hivyo... I jus wish ..I could talk to her... but how??
Kuna bibie humu JF.. nimejikuta tu.. nimempenda.. hii ni kutokana na michango yake.. anavyojiamini anapotoa hoja...ana msimamo... na husimamia anachokisema... naomba ushauri... naogopa kumtaja... nahofia endapo atakuja na Negative Response(mtizamo hasi)....