Nimefall kwa bibie humu JF...

Sasa unasubiri nini? We mchane live! Dondosha mistari hiyo......shauri yako we ngoja wenzako waje wakuwahi! Usiogope kukataliwa aisee, asipokuwa mpenzi wako anaweza akawa hata rafiki yako.

tatizo anajiamini sana... nitamuanza vipi... Unajua kuna wanawake hutuzidi wanaume ujuzi... anaweza akawa mmoja wao...
 
usiwe tu ndio wale akina mariooo wapenda miteremko,unadhani points zake na kujiamini kwake basi atakuwa mtu wa kipato cha juu...mmmnh kuna kuingizwa machakani humu JF!
 
usiwe tu ndio wale akina mariooo wapenda miteremko,unadhani points zake na kujiamini kwake basi atakuwa mtu wa kipato cha juu...mmmnh kuna kuingizwa machakani humu JF!

sio hivyo... I jus wish ..I could talk to her... but how??
 
tatizo anajiamini sana... nitamuanza vipi... Unajua kuna wanawake hutuzidi wanaume ujuzi... anaweza akawa mmoja wao...

Sasa wewe utaogopa mpaka lini? Jitutumue kifua hicho mwanaume, utakufa na tai shingoni......ohoooo!
 
Kuna bibie humu JF.. nimejikuta tu.. nimempenda.. hii ni kutokana na michango yake.. anavyojiamini anapotoa hoja...ana msimamo... na husimamia anachokisema... naomba ushauri... naogopa kumtaja... nahofia endapo atakuja na Negative Response(mtizamo hasi)....
Hilo tatizo mkuu huko peke yako tuko wengi, mimi mmoja wapo. Sifichi na naweka wazi Shantel na Mwanajamiione wananisuza sana roho yangu kutokana na wanachokichangia hapa jamvini....yaani it's straight from their hearts. I wish ningekuwa na mwenza kama either of them. Nawasilisha
 
Hilo tatizo mkuu huko peke yako tuko wengi, mimi mmoja wapo. Sifichi na naweka wazi Shantel na Mwanajamiione wananisuza sana roho yangu kutokana na wanachokichangia hapa jamvini....yaani it's straight from their hearts. I wish ningekuwa na mwenza kama either of them. Nawasilisha

Na mie Naweka wazi.. ni AFRODENZI.... na ROSE 1980... I lurv them... natamani nikutane nao.. Naomba wani PM.. Let them give a gud response P'se... Natamani niongee nao ktk simu...
 
Na mie Naweka wazi.. ni <font color="#FF0000"><b>AFRODENZI.... na ROSE 1980.</b></font>.. I lurv them... natamani nikutane nao.. Naomba wani PM.. Let them give a gud response P'se... Natamani niongee nao ktk simu...
<br />
<br />
Kila la kheri. Usiogope!
 
braza mdogomdogo braza....

afrodenzi ni shemej....

na rozi ni mai shem pia.....!

haaahaaaa haaaaa... naomba wanijibu wenyewe tafadhali... tena kwa Private Message... acha wivu kaka..!!
 
kwani yupo free yaani hajaolewa?<br />
<br />
kuwa makini maana humu kuna hata wanaume wanajifanya wanawake, na wanawake wanajifanya wanaume<br />
<br />
humu watu wanakuwa katika fantasy world kuwa wasivyoweza kuwa maishani mwao<br />
<br />
haya wee kazi kwao
<br />
<br />
Nafikiri umemaliza! Jibu umempa kazi kwake!
 
Na mie Naweka wazi.. ni <font color="#FF0000"><b>AFRODENZI.... na ROSE 1980.</b></font>.. I lurv them... natamani nikutane nao.. Naomba wani PM.. Let them give a gud response P'se... Natamani niongee nao ktk simu...
<br />
<br />
kumbe mnaotafuta mko wengi! Sasaaa!mbona huwa mnakaa kimya?
 
Kuna bibie humu JF.. nimejikuta tu.. nimempenda.. hii ni kutokana na michango yake.. anavyojiamini anapotoa hoja...ana msimamo... na husimamia anachokisema... naomba ushauri... naogopa kumtaja... nahofia endapo atakuja na Negative Response(mtizamo hasi)....


Data sijui kwanini... I always thot ni mdada... SORRY... Thank you for this post.
 
Back
Top Bottom