Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
utajuta kuzaliwa utakavyoshambuliwa
 
Ni kweli sipendi ualimu ila ni kazi nnaiheshimu sana. Ni kazi Baba ameweza kuendesha maisha yetu Hadi mauti ilipomfika, lakini kupitia kazi hiyo nimejifunza mengi ambayo yamenifanya niwe hivi nilivyo Leo.

Ila unakazi kubwa sana ya kufanya kwenye maisha Yako, jifunze utu na ubinadamu, acha kuthamini watu kutokana na vitu au vyeo vyao.

Hao unaowadharau nafasi zao zimeridhika na huenda wanamaisha ya furaha kukuzidi.
 
Ni kweli sipendi ualimu ila ni kazi nnaiheshimu sana. Ni kazi Baba ameweza kuendesha maisha yetu Hadi mauti ilipomfika, lakini kupitia kazi hiyo nimejifunza mengi ambayo yamenifanya niwe hivi nilivyo Leo.

Ila unakazi kubwa sana ya kufanya kwenye maisha Yako, jifunze utu na ubinadamu, acha kuthamini watu kutokana na vitu au vyeo vyao.

Hao unaowadharau nafasi zao zimeridhika na huenda wanamaisha ya furaha kukuzidi.
Safi sana,,huyo dogo ana IQ ndogo sana.
 
Ni kweli sipendi ualimu ila ni kazi nnaiheshimu sana. Ni kazi Baba ameweza kuendesha maisha yetu Hadi mauti ilipomfika, lakini kupitia kazi hiyo nimejifunza mengi ambayo yamenifanya niwe hivi nilivyo Leo.

Ila unakazi kubwa sana ya kufanya kwenye maisha Yako, jifunze utu na ubinadamu, acha kuthamini watu kutokana na vitu au vyeo vyao.

Hao unaowadharau nafasi zao zimeridhika na huenda wanamaisha ya furaha kukuzidi.
Mwenyezi Mungu akubariki sana
 
Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Ndio hao hao walikufundisha kuandika kwa kutamba na tambo humu
 
Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Sisi trend. Readers na wenye kufanya maamuzi ya huko tuendako tunajua wazazi wengi watakuja tamani watoto wao wawe walimu!!

Upo "mpangokazi mezani nitakaokuja kuusimamia walimu watakua admired kwa society!!

Matokeo unayoyaona na makosa tulifanya kama taifa tulipowaruhusu watu fulani kushika strong hold ndipo dhahma ya elimu makaratasi ilipoanza na kudharaulika Hadi leo,wakawekeza mapesa mengi kulipa wanasiasa wasioziddi hata 5000 na kunyima kada zenye uweledi was kuwafikia wengi kama elim katika Taifa!!!

Subiri kwa ham!
 
Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Subaru xt used haifiki hata milion 30 mashauzi kama ya asha, je ungemiliki v8 si ungetukana kila mtu
 
Back
Top Bottom