Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Ahahahah..wajinga wajinga waalimu au wajinga wajinga kama mleta mada?
Wote mnaoshambulia hapa hayupo hata mmoja wenu ambae amewai kufikiria ualimu kama career choice yake au ata kuwahi kupendekeza kwa watoto au ndugu jamaa na rafiki zake kuwa walimu alafu mnajiongolesha apa kenge nyie
 
Wewe jamaa badilika gari siyo ya kumtushia mtu Kwa sasa hasa hizo Subaru za M18.
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Nyie ndo wale malimbukeni mnakulia kwenye funza na kunguni,mkipata viajira serikalini, mkajua kuiba mnadharau KULE mlikotokea mpaka na wazazi wenu wakija kuwasalimia mjini mnaona aibu kuwatambulisha kwa jamaa zenu.mnajifanya mmekulia town kumbe umekulia chaka.tuache ushamba.ushawahi kumuona MTOTO WA Azam humu ANASEMA akipaki watu wanamshangaa?unaijua THAMANI ya gari anayoendesha?Una baby walker au gari lichunguze Kwanza.
 
Mkuu sema ukweli toka moyoni,
Kama una mke na watt kuna mwanao yyte ambaye umewai kum suggestia ualima kama career yake ? Kuwa mkweli
Mwananfu wa kwanza, alikua anapenda sana kuwa mwalimu, nafikiri it was just out of lobe for mother na kwa vile ni mwalimu bas ukimuuliza alikua anapenda kusema nataka kuwa mwalimu😂.
She is a grown up now, dorm 2, naamini atakua anazid ku evolve kiakili when it comes to dream and ambitions, huwa hasemi tena anataka kuwa mwalimu.

Mimi nitam support kwa kkle anatakankuwa , by the way huwa napemda kuzungumza nao kwa habar ya maisha na skills za msingi za kuwa nazo regardless of your proffesion in life. Na huwa nawaambia one of the very important skills is ,you should master ni marketing and sales.. Jiweke tayar na jua namna utaweza geuza elimu yako kuwa bidhaa au huduma na uweze kuipa thaman na kuiuza. Regardless ni mwalimu au daktari.
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Sijasoma comment hata moja lakini we jamaa ni mpuuzi
 
Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Hii imedhihirisha Chuki yako dhidi ya Teachers ingawa imenfanya nmecheka
 
Unafikiri ni kwann the more ana evolve kiakili anabadilika na ualimu unakua sio appealing tena kwake? Na sio yy tu this is true kwa watoto wengi sana .

Mwananfu wa kwanza, alikua anapenda sana kuwa mwalimu, nafikiri it was just out of lobe for mother na kwa vile ni mwalimu bas ukimuuliza alikua anapenda kusema nataka kuwa mwalimu😂.
She is a grown up now, dorm 2, naamini atakua anazid ku evolve kiakili when it comes to dream and ambitions, huwa hasemi tena anataka kuwa mwalimu.

Mimi nitam support kwa kkle anatakankuwa , by the way huwa napemda kuzungumza nao kwa habar ya maisha na skills za msingi za kuwa nazo regardless of your proffesion in life. Na huwa nawaambia one of the very important skills is ,you should master ni marketing and sales.. Jiweke tayar na jua namna utaweza geuza elimu yako kuwa bidhaa au huduma na uweze kuipa thaman na kuiuza. Regardless ni mwalimu au daktari.
 
Unafikiri ni kwann the more ana evolve kiakili anabadilika na ualimu unakua sio appealing tena kwake? Na sio yy tu this is true kwa watoto wengi sana .
Jibu ni rahisi ana experience katika maisha yake vtu ambavyo vina serve kama viashiria kuwa ualimu is not the right career choice for a better future.kwa ku observe tu anaona maisha y walimu ya walimu yalivyo duni na hopeless. Simple !
 
Back
Top Bottom