everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,627
- 15,017
Pole sana msikivuTz,pole sana,lakini samehe,samehe,samehe,samehe,Mungu akusaidie katika hilo,kuna nguvu kubwa sana katika kusamehe,sisi sote hatujakamilika. Wewe ni wa thamani sana sana mbele za Mungu,don't ask why? Shukuru kwa yote,Mungu akutie nguvu ulishinde hili,na hili nalo litapita...
Last edited by a moderator: