Asnam
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 4,256
- 2,944
********************************
asante Asnam najiulizaga kwamba yule jamaa kachezea nyeti za mke wangu wa ndoa! kwa hiyo anazijua na kuzichafua! plz aliwah pitia pito hili naombeni msaada wenu mlivukaje....help me to step frm here frm ur xperuence
ikiwezekana inabidi mpeane muda kutibu vidonda hasa wewe,jitahidi usionane na mkeo kupunguza machungu kwa sababu sahizi mkionana unaweza kufanya kitu kibaya utakachokijutia maishani.
wenzetu huwa wanaenda picnic kurefresh mind,try your best braza.
Last edited by a moderator: