CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,045
Malizia basi, ulimla au alikukula? Maana Hii ni Game of Chance
mpwaaaaa! kumbe na wewe unasubiri jibu la mwisho!
Malizia basi, ulimla au alikukula? Maana Hii ni Game of Chance
Jna la hyo app plz...
Wasamehe, na wewe jitahidi kuondoa mawazo ingawa ni ngumu lakini itafikia kipindi utazoea na utarejea katika hali yako ya kawaida kama ujuavyo mwanzo mgumu
CYBERTEQ nipo nimekuja.... Bora imefikia ukingoni maana kuna ishu nimeacha kuzifanya hapa...asante.njoo umalizie stori jamaa keshaichakachua tayari..lol!
Mi pia nimecheka hadi basi simpatii picha alivofungua geti kwa kupiga teke na kupiga teke sufuria la chai jikoni chezeya kuchapiwa wewe yaan hilo lizee na huyo mke wa jamaa shame on 'em mxiuuuuuuuuu!
Pole sana...
Inasikitisha na hivi hata watoto hakuna na upendo umeshatoweka...
Ngoja wanaume wenzako wakupe ushauri maana mioyo ya wanawake ni tofauti...
Ingekuwa mwanamke ungesikia vumilia hakuna mume wako peke yako...
na wanawake yakiwatokea haya kweli wanavumilia baada ya miaka maisha yanasonga kama hakuna kilichotokea...
Ila mioyo ya wanaume iko very weak (navyosikia)
Ndio maana sijajua kama hili la kuvumilia linaapply pande zote...
inaudhi sana lizee zima linafuatilia mke wa mtu tena mtu mwenyewe kijana 27yo, si kutafutana lawama! lakini kweli jamaa alijirudi akili ikafanya kazi, kumfanya mama mtu mzima, tena asiyehusika si jambo jema hata kidogo, lakini huyo mzee inabidi ashikwe hata tak0, kumlawiti si jambo jema tena na ni kujitia uchafu kwanza ni hasira tu hata huyo jamaa akivua mashine haiwezi kusimama, chezea tak0 la mwanamume mwenzako.lakini japo ashikwe tak0 tu, kisha akatoe ushuhuda kanisani kwake!
hahahha, huku mwisho umeichakachua kaka...eti akatimka mbio, tunavunjana mbavu mkuu!
imeshaisha we endelea na kupika tu yasije kukukuta bure!Nimeishia 23,naunguza mboga nitapigwabureee. ..au wahisi ninachati na mchepuko
Malizia basi, ulimla au alikukula? Maana Hii ni Game of Chance
to be continued ama??!!!!!!!
Yaani siku nzima nafuatilia kila next episode..balaa!!!
Jahahahaha sa we ungebaki?
The QN is mchizi dushe lilisimama au basi tu?