Nimechukizwa na wananchi kushangilia vifo vya wanachama sita wa CCM kwenye ajali Njombe. Taifa limegawanyika, tusipuuze

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,123
Tumesikia imetokea ajali ya Hiace na kuua watu sita wanaodaiwa ni wanachama wa CCM huko Niombe.

Katika mitandao yote iliyoripoti habari hii jumbe za kebehi na kushangilia ajali hii ni nyingi. Wanaoshangilia wametoa hoja wakionyesha changamoto tulizonazo za ajira ,nishati na rushwa zimechangiwa na marehemu jambo ambalo si kweli.

Naamini hawa waliofariki siyo Sehemu ya maamuzi na ndiyo maana wamelazimika kukodi daladala iwapeleke kwenye mkutano na kuwarejesha home.

Kwa namna watu walivyocomment na wanavyoendelea kugoment inatoa picha kwamba si watu wote wanaotuzunguka ni marafiki zetu. Wapo watu wanacheka na sisi ila ni maadui zetu.

Viongozi wa kisiasa niwaombe, kama hali hii isipofanyiwa tathimini upo uwezekano mkawa na walinzi, wapishi, wahudumu na hata wenza wenu ambao ni maadui zenu. Tusipuuze hali hii nakuamini tupo salama, hapana tunachukuana kwa itikadi na sasa umaskini umewafanya watu waanze kuombeana kifo ili na wao wapate nafasi.

Tunaposherekea Mwalimu Nyerere Day tuamue sasa kurejesha HAKI NA USAWA katika Tanganyika na Zanzibar.
 
Hahahahahah tupo utumwani ndio maana watu wanashangilia haiwezekani mwarabu achukue ardhi yetu milele halafu watu wafurahi angalia huyu mama anakwenda kuomba msamaha hapa TEC noma
 

Attachments

  • 20231014_113754.jpg
    20231014_113754.jpg
    91.4 KB · Views: 2
Tumesikia imetokea ajali ya HiCe na kuua watu sita wanaodaiwa ni wanachama wa CCM huko Niombe.

Katika mitandao yote iliyoripoti habari hii jumbe za kebehi na kushangilia ajali hii ni nyingi. Wanaoshangilia wametoa hoja wakionyesha changamoto tulizonazo za ajira ,nishati na rushwa zimechangiwa na marehemu jambo ambalo si kweli.

Naamini hawa waliofariki siyo Sehemu ya maamuzi na ndiyo maana wamelazimika kukodi daladala iwapeleke kwenye mkutano na kuwarejesha home.

Kwa namna watu walivyocomment na wanavyoendelea kugoment inatoa picha kwamba si watu wote wanaotuzunguka ni marafiki zetu. Wapo watu wanacheka na sisi ila ni maadui zetu.

Viongozi wa kisiasa niwaombe, kama hali hii idipofanyiwa tathimini upo uwezekano mkawa na walinzi, wapishi, wahudumu na hata wenza wenu ambao ni maadui zenu. Tusipuuze hali hii nakuamini tupo salama, hapana tunachukuana kwa itikadi na sasa umaskini umewafanya watu waanze kuombeana kifo ili na wao wapate nafasi.

Tunaposherekea Mwalimu Nyerere Day tuamue sasa kurejesha HAKI NA USAWA katika Tanganyika na Zanzibar.
CCM acheni ubaguzi na dharau.
 
Ni vizuri kukumbushana haya muda huu msiba ukiwa umetokea, lakini ni vizuri zaidi kukumbushana kukemea viongozi wa CCM wanapotoa kauli za ubaguzi wa kisiasa kwani ndizo chanzo cha haya. Mfano, wakati jiwe anaeleza waziwazi majukwaani kuwa hawezi kupeleka huduma maeneo/majimbo yaliyochagua wapinzani, wewe mtoa mada uliwahi kukemea, au kupinga kauli hizo?
 
Nakumbuka miaka ya 2000.bbc waliwahi kusema kua, wanasayansi wanapambana kutengeneza kizazi kisichotawalika.

Wakati kikwete anatoka madarakani hotuba yake ya wizara ya afya aliisifia kwa kusema, idara ya afya imefanikiwa pakubwa..na kati ya watoto 500 waliofanyiwa umajalibia matokeo ni mazuri.lakini hawajasema ni majalibio gani ya yaliofanywa hadi yakawa mazuri.

Kwakifupi kuna mambo mengi kwenye kizazi cha sasa wanasayansi wanafanya na Hayo ndio matokeo.
Watoto wa sikuhizi wanafanya vitu vya ajabu hadi unashangaa na huwezi kumkanya au kumulekebisha hata anapokosea.

Itafikia hata usipomnunulia soda mtoto wa leo atakuchukia kiasi kwamba hata ukifa hasikitiki kwasababu ya kitu kidogo sana.
Hivyo hata ufanye nini kizazi cha aina hii cha kutengeneza maabala hakiwezi kutawalika, tunaenda kwenye Ulimwengu wa matatizo yasiokua na mwisho.
 
Jiwe ni mwehu
Ni vizuri kukumbushana haya muda huu msiba ukiwa umetokea, lakini ni vizuri zaidi kukumbushana kukemea viongozi wa CCM wanapotoa kauli za ubaguzi wa kisiasa kwani ndizo chanzo cha haya. Mfano, wakati jiwe anaeleza waziwazi majukwaani kuwa hawezi kupeleka huduma maeneo/majimbo yaliyochagua wapinzani, wewe mtoa mada uliwahi kukemea, au kupinga kauli hizo?
 
Nakumbuka miaka ya 2000.bbc waliwahi kusema kua, wanasayansi wanapambana kutengeneza kizazi kisichotawalika.

Wakati kikwete anatoka madarakani hotuba yake ya wizara ya afya aliisifia kwa kusema, idara ya afya imefanikiwa pakubwa..na kati ya watoto 500 waliofanyiwa umajalibia matokeo ni mazuri.lakini hawajasema ni majalibio gani ya yaliofanywa hadi yakawa mazuri.

Kwakifupi kuna mambo mengi kwenye kizazi cha sasa wanasayansi wanafanya na Hayo ndio matokeo.
Watoto wa sikuhizi wanafanya vitu vya ajabu hadi unashangaa na huwezi kumkanya au kumulekebisha hata anapokosea.

Itafikia hata usipomnunulia soda mtoto wa leo atakuchukia kiasi kwamba hata ukifa hasikitiki kwasababu ya kitu kidogo sana.
Hivyo hata ufanye nini kizazi cha aina hii cha kutengeneza maabala hakiwezi kutawalika, tunaenda kwenye Ulimwengu wa matatizo yasiokua na mwisho.
Mmmh siyo kweli
 
Tumesikia imetokea ajali ya HiCe na kuua watu sita wanaodaiwa ni wanachama wa CCM huko Niombe.

Katika mitandao yote iliyoripoti habari hii jumbe za kebehi na kushangilia ajali hii ni nyingi. Wanaoshangilia wametoa hoja wakionyesha changamoto tulizonazo za ajira ,nishati na rushwa zimechangiwa na marehemu jambo ambalo si kweli.

Naamini hawa waliofariki siyo Sehemu ya maamuzi na ndiyo maana wamelazimika kukodi daladala iwapeleke kwenye mkutano na kuwarejesha home.

Kwa namna watu walivyocomment na wanavyoendelea kugoment inatoa picha kwamba si watu wote wanaotuzunguka ni marafiki zetu. Wapo watu wanacheka na sisi ila ni maadui zetu.

Viongozi wa kisiasa niwaombe, kama hali hii idipofanyiwa tathimini upo uwezekano mkawa na walinzi, wapishi, wahudumu na hata wenza wenu ambao ni maadui zenu. Tusipuuze hali hii nakuamini tupo salama, hapana tunachukuana kwa itikadi na sasa umaskini umewafanya watu waanze kuombeana kifo ili na wao wapate nafasi.

Tunaposherekea Mwalimu Nyerere Day tuamue sasa kurejesha HAKI NA USAWA katika Tanganyika na Zanzibar.
Marehemu walikuwa shehemu ya mhimili wa uovu, CCM, axis of evils
 
Nakumbuka miaka ya 2000.bbc waliwahi kusema kua, wanasayansi wanapambana kutengeneza kizazi kisichotawalika.

Wakati kikwete anatoka madarakani hotuba yake ya wizara ya afya aliisifia kwa kusema, idara ya afya imefanikiwa pakubwa..na kati ya watoto 500 waliofanyiwa umajalibia matokeo ni mazuri.lakini hawajasema ni majalibio gani ya yaliofanywa hadi yakawa mazuri.

Kwakifupi kuna mambo mengi kwenye kizazi cha sasa wanasayansi wanafanya na Hayo ndio matokeo.
Watoto wa sikuhizi wanafanya vitu vya ajabu hadi unashangaa na huwezi kumkanya au kumulekebisha hata anapokosea.

Itafikia hata usipomnunulia soda mtoto wa leo atakuchukia kiasi kwamba hata ukifa hasikitiki kwasababu ya kitu kidogo sana.
Hivyo hata ufanye nini kizazi cha aina hii cha kutengeneza maabala hakiwezi kutawalika, tunaenda kwenye Ulimwengu wa matatizo yasiokua na mwisho.
Popoma
 
Back
Top Bottom