Si amesema ana 26 au?Akikujibu muulize na hili anamiaka 26 au 22
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.mm ni mwislamu ila napenda kuolewa na mkristo nipo tayari kubadili dini.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar
mkuu naomba nikushauri kuwa "kuolewa hakukimbiliwi" kwa pupa kama unavyotaka kufanyamm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.mm ni mwislamu ila napenda kuolewa na mkristo nipo tayari kubadili dini.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar
ye mwenyewe muongo huyo, mara miaka 22 mara 26kuwa makini watakuliza humu wengi ...
kwani una uzoefu wowote wa kulizwa humu jukwaani..? kama ndiyo , je ni nani aliyekuliza .kuwa makini watakuliza humu wengi ...
siku nyengine atasema ana miaka 24, cha ajabu wala hajaulizwa na mtu miaka yakejuzi ulisema una miaka 22 leo 26...haya waoaji kazi kwenu mie nina mke.
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/13007471
Si amesema ana 26 au?
Miaka yake inabadilika kama thermometer kukiwa na joto inapanda kukiwa na baridi inashukaSi amesema ana 26 au?
huku wapitaji wengi awe makinikwani una uzoefu wowote wa kulizwa humu jukwaani..? kama ndiyo , je ni nani aliyekuliza .
basi sawa tu wacha wamdanganye piaye mwenyewe muongo huyo, mara miaka 22 mara 26
Khaa jamani, labda ni typing error tu. Ngoja aje aseme mwenyewe umri wake sahihiMiaka yake inabadilika kama thermometer kukiwa na joto inapanda kukiwa na baridi inashuka
Kwanini dada yangu unapenda kuolewa na mkristo?mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.mm ni mwislamu ila napenda kuolewa na mkristo nipo tayari kubadili dini.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.mm ni mwislamu ila napenda kuolewa na mkristo nipo tayari kubadili dini.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar