Nimechapiwa kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe

Tuambiane ukweli kua mwanaume inahitaji ujasiri , ukatili na roho mbaya wakati mwingine.

Ukiwa mwanaume hakuna wakat utaambiwa sasa ni wakati wa kutafuta au utatafuta hivi ..


kuzidiwa ni sehem ya maisha mwana wa forster kakuzidi kete usi mind chukulia changamoto push utoke apo ulipo usukume kitu na ww ukachape ya mtu.

Asilimia kubwa ya mahusiano saivi tuna porana tu .. Dem alikua wa yule una mchukua anakua wako swali ni je unavyo vinavyo staili kumtuliza.. maana tamaa kitu hii huwa beba wanawake.

binafsi huona mausiano kama falme kuna nyakati ngome yang itavamiwa na inaweza ikabebwa na mi falme yenye mi guvu ... ila mbinu na strategy za kujilinda zitakufanya ukae mda mrefu ngomeni ..(jijenge kiuchumi kuimarisha ngome yako)

la mwisho pole comrade ... tafuta kambi dhaifu vamia beba ya mtu ukishindwa cheza alliance ila jua unazidiwa kete dharau na nyodo zitakua nying
 
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi ulipita kupitia hali yangu mbaya kazini.

Niliamua tu kumchunguza baada ya kuona dharau zimezd kumbe natomb owa huko nje. Nimeamua kumuacha rasmi bila kumuuliza kitu maisha mengine yaendelee yani kisa tu mwanangu una forester ukapita na pisi yangu fresh.

Asanteni sana
Pole mkuu..
Bahati nzuri hujamuoa.
Hiyo video ya mtanange umepataje?
 
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi ulipita kupitia hali yangu mbaya kazini.

Niliamua tu kumchunguza baada ya kuona dharau zimezd kumbe natomb owa huko nje. Nimeamua kumuacha rasmi bila kumuuliza kitu maisha mengine yaendelee yani kisa tu mwanangu una forester ukapita na pisi yangu fresh.

Asanteni sana
Nenda kanunue forester mkuu.. 😂 😂
 
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi ulipita kupitia hali yangu mbaya kazini.

Niliamua tu kumchunguza baada ya kuona dharau zimezd kumbe natomb owa huko nje. Nimeamua kumuacha rasmi bila kumuuliza kitu maisha mengine yaendelee yani kisa tu mwanangu una forester ukapita na pisi yangu fresh.

Asanteni sana
Mkuu...kama haya si mahusiano yako ya Kwanza....

Kwa usahihi zaid...sema leo ndio mara ya Kwanza umejua Kuwa umechapiwa
 
Naona shida ni maokoto
Mpe pole kijana
images (8).jpeg
 
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi ulipita kupitia hali yangu mbaya kazini.

Niliamua tu kumchunguza baada ya kuona dharau zimezd kumbe natomb owa huko nje. Nimeamua kumuacha rasmi bila kumuuliza kitu maisha mengine yaendelee yani kisa tu mwanangu una forester ukapita na pisi yangu fresh.

Asanteni sana
"Haya maneno walisema wazee wa zamani, ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani" ....... Hivi huo wimbo aliimbaga Nani vile? Pole sana mkuu Kwa kweli kuchapiwa inauma sana.
 
Back
Top Bottom