007/Mrs.bond
Member
- May 6, 2009
- 19
- 3
Za leo wandugu wapendwa,
Napenda kuuliza swali tafadhali, hivi mwanamme anaishi Norway,ameamua kuoa mwanamke toka mfano kwetu Tanzania na kumpeleka huko wakaanze maisha pamoja. Then huyo bibie akaanza kusoma hiyo lugha ili aweze kupata kazi...lugha imegoma akamueleza mumewe hali halisi ili kama nikutafuta kazi nchi nyingine iwe hivyo. Huyo baba baada ya kuelezewa hayo akawa mkali nakutoa maneno ya kejeli kwa huyo mwanamke eti kama haiwezi lugha kaenda huko Norway kufanya nini! Kwa kweli huyo dada roho ilimuuma karibia ajinyonge. Je tunaweza kumsaadia vipi huyu bibie katika swala hili maana yaelekea mume ameshamuona mzigo sasa, ambayo imempelekea hata tendo la ndoa kuwa gumu kwake. Asanteni.
Napenda kuuliza swali tafadhali, hivi mwanamme anaishi Norway,ameamua kuoa mwanamke toka mfano kwetu Tanzania na kumpeleka huko wakaanze maisha pamoja. Then huyo bibie akaanza kusoma hiyo lugha ili aweze kupata kazi...lugha imegoma akamueleza mumewe hali halisi ili kama nikutafuta kazi nchi nyingine iwe hivyo. Huyo baba baada ya kuelezewa hayo akawa mkali nakutoa maneno ya kejeli kwa huyo mwanamke eti kama haiwezi lugha kaenda huko Norway kufanya nini! Kwa kweli huyo dada roho ilimuuma karibia ajinyonge. Je tunaweza kumsaadia vipi huyu bibie katika swala hili maana yaelekea mume ameshamuona mzigo sasa, ambayo imempelekea hata tendo la ndoa kuwa gumu kwake. Asanteni.