Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,364
- 11,520
Mi naishi kwa sister toka nimalize degree. Kazi yangu bado sijaipata naisubiria. Nitapata tu. Ila bado nahitaji kuendelea na mchakato wa papuchi. Siwezi sema eti nisubiri nikipata pesa.
Basi last week shem na sister walisafiri nikawa nimeachiwa nguo za kunyosha za shem. Nikaona nijaribu...zikanitosha..
Basi nikawa napiga hizo nguo naenda town. Nikaenda Bank CRDB nikawaambia nataka kufungua akaunt ya Kampuni. Nikakabidhiwa kwa dada mrembo.tukashare namba za simu.
Nikamkaribisha home kwa sister.akaja nilimdanganya pale ndo home. Ilibidi niondoe picha za sis na shem. Yule dada akaamini pale ni kwangu.dada wa kazi nlimpa 2000 aende kutembea. Yule mtoto wa crdb nikamgegeda.
Nikahamia NMB nako nmechakata mtoto mmoja mzuri kwa style hiyo hiyo. Akanipeleka kwao...nlimdanganya gari yangu ipo garage na nyingine ipo kwenye meli.mama yake akanikubali naye nikamchakata kwa bia 3 tu ambazo pesa alinipa jamaa yangu 10,000 ya nauli ya kwenda tafuta kazi.
Nmekutana na jamaa yangu tulisoma chuo ana biashara zake nikamwambia nami nmeajiriwa GSM akaniamini akataka nami nimsaidie ahamie pale maana nlimwambia pale mshahara wao si mkubwa sana wananipa tsh mi 4 tu jamaa akanambia anataka na yeye.
Nikamwambia nitamuunganisha na Hersi maana yule na Manara ndo Big Chawas. Akanishukuru sana akanipa tsh 50,000 ya kutumia nikionana na Manara Lunch Time.
Yaani ikanisaidia ile mbaya ile 50,000. Imenisaidia kuchakata mademu 15 tofauti tofaut. Yaani jamaa alinifaa sana next week sister na shem wanarudi. Hawa madem nmewaambia naenda Dubai na nitaenda China. Nimebadili namba kwa muda.
Yaani kwa kweli nmewaza hivi Serikali haiwezi niajiri? Ikanitumia kwenye mambo yake. Naamini naweza sana isaidia nchi yangu. Kuwe kuna namna ya watu kama sisi kupewa hata mitaji tujiendeleze.
Basi last week shem na sister walisafiri nikawa nimeachiwa nguo za kunyosha za shem. Nikaona nijaribu...zikanitosha..
Basi nikawa napiga hizo nguo naenda town. Nikaenda Bank CRDB nikawaambia nataka kufungua akaunt ya Kampuni. Nikakabidhiwa kwa dada mrembo.tukashare namba za simu.
Nikamkaribisha home kwa sister.akaja nilimdanganya pale ndo home. Ilibidi niondoe picha za sis na shem. Yule dada akaamini pale ni kwangu.dada wa kazi nlimpa 2000 aende kutembea. Yule mtoto wa crdb nikamgegeda.
Nikahamia NMB nako nmechakata mtoto mmoja mzuri kwa style hiyo hiyo. Akanipeleka kwao...nlimdanganya gari yangu ipo garage na nyingine ipo kwenye meli.mama yake akanikubali naye nikamchakata kwa bia 3 tu ambazo pesa alinipa jamaa yangu 10,000 ya nauli ya kwenda tafuta kazi.
Nmekutana na jamaa yangu tulisoma chuo ana biashara zake nikamwambia nami nmeajiriwa GSM akaniamini akataka nami nimsaidie ahamie pale maana nlimwambia pale mshahara wao si mkubwa sana wananipa tsh mi 4 tu jamaa akanambia anataka na yeye.
Nikamwambia nitamuunganisha na Hersi maana yule na Manara ndo Big Chawas. Akanishukuru sana akanipa tsh 50,000 ya kutumia nikionana na Manara Lunch Time.
Yaani ikanisaidia ile mbaya ile 50,000. Imenisaidia kuchakata mademu 15 tofauti tofaut. Yaani jamaa alinifaa sana next week sister na shem wanarudi. Hawa madem nmewaambia naenda Dubai na nitaenda China. Nimebadili namba kwa muda.
Yaani kwa kweli nmewaza hivi Serikali haiwezi niajiri? Ikanitumia kwenye mambo yake. Naamini naweza sana isaidia nchi yangu. Kuwe kuna namna ya watu kama sisi kupewa hata mitaji tujiendeleze.