Nimeanza kufuga kuku wa kienyeji

Saint_Maxi

Member
Jan 11, 2021
25
16
Habari za muda huu,

Nimeanza kufuga kuku wa kienyeji ila changamoto ilionileta hapa ni kuwa....

Kuna jike moja wapo lilianza kutaga mpaka sasa ana mayai zaidi ya kumi ila kila akitaka kutaga haendi sehemu niliomuandalia ila anatanga tanga mpaka nimkate nimuweke sehemu hiyo.

Je, nifanyaje?
 
Habari za muda huu,

Nimeanza kufuga kuku wa kienyeji ila changamoto ilionileta hapa ni kuwa....

Kuna jike moja wapo lilianza kutaga mpaka sasa ana mayai zaidi ya kumi ila kila akitaka kutaga haendi sehemu niliomuandalia ila anatanga tanga mpaka nimkate nimuweke sehemu hiyo.

Je, nifanyaje?
We endelea kumkamata tu mkuu afu utupe mrejesho
 
Back
Top Bottom