RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,476
Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku wakienyeji hawalipi na wafugaji wengi wanafuga ufugaji wa bila faida hasa wa mazoea.
Sasa siku za hivi karibuni naona wafugaji wengine wanafakiwa kuuza kuku mmoja bei ya elfu 30 Jogoo, na jike wanauza elfu 25. Baada yakufanya utafiti kidogo nimeamua ni fanye ufugaji na target yangu ni kuku 5000, kufikia December 2025. Mpaka Sasa nakuku wanane tu, wawili wa kienyeji, sasso 5 na kroila 1. Nimeanza kuku wachache Hawa nikiwa nikiwa naandaa mabanda yakamilike ndio niongenze kuku wengine.
Je Kwa maono yenu wazoefu wa ufugaji kuku, kufuga kuku mchanganyiko wa kienyeji pure, sasso, kuchi, kroila pamoja na Mbegu nyinginezo inaleta tija?.
Je ushauri wenu ni nini juu ya Mimi kufikia target ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka 1 na miez 6?.
Sina uzoefu wowote katika ufugaji, lakini nategemea kuwaweka vijana wakike wawili ambao wao niwazoefu katika uangalizi wakuku na ntakua nawalipa kiasi Cha pesa kulingana na makubaliano yangu na wao.
Mabanda yapo mawili Kila Moja nalijenga sehemu tofautina yako mwishoni ili niweze kujua yupi anafanya kazi nzuri ili niongenze nguvu Kwa muangalizi mzuri zaidi.
Budget yangu ni 462,000/= Tzsh. Kwa Kila mwezi ndani ya miezi sita yakwanza, hii nipamoja nakunnua chakula pamoja na kuku wakubwa, vifaranga na chakula bila kusahu dawa na chanjo zake.
Hii 462,000 Tzsh, ninje na makubaliano ya mishahara yao.
Mpango wangu nikuku watakatakapofika 1500/2000 nisinunue kuku yeyote bali wazaliane wao Kwa wao tu.
Nimepanga kuwalipa Kila muangalizi shilling elfu 70 Kila baada ya week 2, nikiwa namaana tare 16 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja na tare 2 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja, hii iweze kuwasaidia wao katika suala la matumizi binafsi madogo madogo. Pia Kila mtu atakua anakaa mahala hapo kwenye Banda husika, ingawa Mimi Niko mbali kidogo na Banda husika lakini nikihitaji kufika naweza kufika ndani muda mchache usiozidi nusu saa.
Nilikua naomba ushauri wenu juu ya mradi wangu huu, kuhusu masoko ya kuwauza nimepanga hapo baadae kufungua butcha za kuuza nyama za kuku , hizi butcha nimepanga kuzifungulia Dar es Salaam Kwa hapo baadae hasa 2026 kwahio ntaweza kuuza jumla na reja reja, pia ntahitaji kununua kuku wengine kutoka Kwa wafugaji wenzangu kadri soko la wanunuzi wa jumla wakuku litakavyoongezeka.
Mradi wangu naufanyia Tanga mjini wa ufugaji, maana ndipo nimeona aridhi inanunulika Kwa bei rahisi kidogo kulinganisha na Dar es Salaam.
Nimeambatanisha Banda langu mojawapo nalolimalizia pamoja na picha kuku za kuku wangu 3.
Naamini haitokua rahisi kufikia kuku elfu 5, lakini naamini pia haishindikani kufikia malengo.
Asante wakuuu wangu na karibu niweze pata mchango na mawazo yenu kama hamtojali.
Sasa siku za hivi karibuni naona wafugaji wengine wanafakiwa kuuza kuku mmoja bei ya elfu 30 Jogoo, na jike wanauza elfu 25. Baada yakufanya utafiti kidogo nimeamua ni fanye ufugaji na target yangu ni kuku 5000, kufikia December 2025. Mpaka Sasa nakuku wanane tu, wawili wa kienyeji, sasso 5 na kroila 1. Nimeanza kuku wachache Hawa nikiwa nikiwa naandaa mabanda yakamilike ndio niongenze kuku wengine.
Je Kwa maono yenu wazoefu wa ufugaji kuku, kufuga kuku mchanganyiko wa kienyeji pure, sasso, kuchi, kroila pamoja na Mbegu nyinginezo inaleta tija?.
Je ushauri wenu ni nini juu ya Mimi kufikia target ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka 1 na miez 6?.
Sina uzoefu wowote katika ufugaji, lakini nategemea kuwaweka vijana wakike wawili ambao wao niwazoefu katika uangalizi wakuku na ntakua nawalipa kiasi Cha pesa kulingana na makubaliano yangu na wao.
Mabanda yapo mawili Kila Moja nalijenga sehemu tofautina yako mwishoni ili niweze kujua yupi anafanya kazi nzuri ili niongenze nguvu Kwa muangalizi mzuri zaidi.
Budget yangu ni 462,000/= Tzsh. Kwa Kila mwezi ndani ya miezi sita yakwanza, hii nipamoja nakunnua chakula pamoja na kuku wakubwa, vifaranga na chakula bila kusahu dawa na chanjo zake.
Hii 462,000 Tzsh, ninje na makubaliano ya mishahara yao.
Mpango wangu nikuku watakatakapofika 1500/2000 nisinunue kuku yeyote bali wazaliane wao Kwa wao tu.
Nimepanga kuwalipa Kila muangalizi shilling elfu 70 Kila baada ya week 2, nikiwa namaana tare 16 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja na tare 2 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja, hii iweze kuwasaidia wao katika suala la matumizi binafsi madogo madogo. Pia Kila mtu atakua anakaa mahala hapo kwenye Banda husika, ingawa Mimi Niko mbali kidogo na Banda husika lakini nikihitaji kufika naweza kufika ndani muda mchache usiozidi nusu saa.
Nilikua naomba ushauri wenu juu ya mradi wangu huu, kuhusu masoko ya kuwauza nimepanga hapo baadae kufungua butcha za kuuza nyama za kuku , hizi butcha nimepanga kuzifungulia Dar es Salaam Kwa hapo baadae hasa 2026 kwahio ntaweza kuuza jumla na reja reja, pia ntahitaji kununua kuku wengine kutoka Kwa wafugaji wenzangu kadri soko la wanunuzi wa jumla wakuku litakavyoongezeka.
Mradi wangu naufanyia Tanga mjini wa ufugaji, maana ndipo nimeona aridhi inanunulika Kwa bei rahisi kidogo kulinganisha na Dar es Salaam.
Nimeambatanisha Banda langu mojawapo nalolimalizia pamoja na picha kuku za kuku wangu 3.
Naamini haitokua rahisi kufikia kuku elfu 5, lakini naamini pia haishindikani kufikia malengo.
Asante wakuuu wangu na karibu niweze pata mchango na mawazo yenu kama hamtojali.