sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Na ni katika haya makanisa ya wachungaji wa mchongo, wanawake wamekuwa mitaji kwakuwa ni wepesi sana kuwachezea kiimani wakakuamini na ukawafanya chochote.
Yani wanawake wakishaona mtu anaruka ruka anapiga makelele huwaambii kitu hapo wanajua ni kweli ni mapepo wanamuona mchungaji ni kama Mungu.
Huko Kenya katika tukio la hivi karibuni kuna mama alienda na watoto wake wanne huko kwa mchungaji akilazimisha watoto wake nao wasile ili wafunge na kupaa kwenda mbinguni, hizi akili fupi za mama zimewasomba na watoto.
Huko makanisani imeshakuwa kawaida kwa wachungaji kulalal na wake za watu kwa kuwaaminisha kiimani wanapokea upako, ukiona mke wako kaanza kwenda sana hayo makanisa mambo ya mkesha na maombi hata ya siku za jumatano hapo ujue kuna mchungaji anajipigia.
Wamama wamekuwa ni vichaa wa mafuta ya upako, yani hata liwe tatizo ambalo halina dawa mfano mtoto kazaliwa albino wao watakimbilia mafuta ya upako.
Yani wanawake wakishaona mtu anaruka ruka anapiga makelele huwaambii kitu hapo wanajua ni kweli ni mapepo wanamuona mchungaji ni kama Mungu.
Huko Kenya katika tukio la hivi karibuni kuna mama alienda na watoto wake wanne huko kwa mchungaji akilazimisha watoto wake nao wasile ili wafunge na kupaa kwenda mbinguni, hizi akili fupi za mama zimewasomba na watoto.
Huko makanisani imeshakuwa kawaida kwa wachungaji kulalal na wake za watu kwa kuwaaminisha kiimani wanapokea upako, ukiona mke wako kaanza kwenda sana hayo makanisa mambo ya mkesha na maombi hata ya siku za jumatano hapo ujue kuna mchungaji anajipigia.
Wamama wamekuwa ni vichaa wa mafuta ya upako, yani hata liwe tatizo ambalo halina dawa mfano mtoto kazaliwa albino wao watakimbilia mafuta ya upako.