Nimeamua nitafute mtoto kwanza

32 years mbona bado unadai?una miaka mingi tu kabla ya menopause.au kila rafiki zako wana watoto?jipe muda kwanza usifanye haraka.inaomyesha kama una stress hivi.jipe busy kwa mambo mengine.ila kama uamuzi wako hautobadilika.good luck.unaweza ukawa single mum,ukawa mama mzuri tu kwa mtoto wako,kwa wanaosema,maisha bila baba kwa mtoto sio mazuri.mimi nimeishi bila baba,mama alikuwa the best mum,na sijaona mapungufu yoyote yale katika malezi niliyolelewa
 
Duuh kila unapodhania wewe unatatizo kubwa unakutana na mwenzio anakubwa zaidi yako, jaribu kuwa na subra dadaangu coz miaka 32 sidhan kama ndio umri umeenda sana, unao uwezo wakuolewa na ukapata watoto mpaka wa3. Muombe mungu akusaidie mpendwa.
 
Namuonea huruma huyo mtoto kwani atakosa malezi ya baba...

Right on bro

Wangapi wanaishi na baba zao nyumba moja na hawapati hayo ''malezi ya baba''??
Just because Mr so and so isn't responsible it doesn't mean men aren't needed to raise a child. There is a good reason why you need both parents to make a baby and so does raising it. Revolutionary speaking, a female human needs to choose the right male who will stick around long enough until their offsprings are able to pass on their genes.

Children learn by observing others, especially their authority figures, role playing everything early on in their life. If one parent is missing they end up being adults who lack something, that something could be anything. Now if a woman chooses a wrong partner who is abusive, then that is her problem but don't tell me that it's OK to just pick a random guy, have him pregnant you, so you can raise a child by yourself. I've seen it many times women doing this, "oh! I can raise my child by myself" only to get her kids messed up in the head, get on drugs or become dysfunctional.

Even though some kids turn out good the numbers don't lie, most don't.

Single parenting is an issue that is costing our societies, the results of many studies reveal that, kids raised by single mothers tend to misbehave twice as much as those raised by both parents. So this thing of "I can do all by myself" is hurting all of us as a society, instead, let us be careful on which one we choose to bed with, so our children can have a chance to have both parents in their lives.

Read on single parenting issues
 
Mimi nimeshawahi kutana na msichana aliyenitamkia wazi kuwa afikishapo umri fulani basi asingejali kupata mimba ya mtu yeyote yule ili mradi tu apate mimba na azae hata kama baba wa mtoto hatashiriki katika maisha ya mtoto.

Desperation ni hali mbaya sana.
 
Heshima zenu wanajamvi wa mmu, bila shaka mnakumbuka post yangu ya nyuma kuhusu kuolewa nashukuru sana wengi wenu mlinitia moyo mkanifariji na mkanipa mawazo kemkem ya kusonga mbele, nilikua natafakari mambo mengi kwa muda wote ule na kuna jibu moja la maana nimelipata na litawafaidieni na nyie ni kwamba, upande juu ushuke chini KUNA KIPINDI MWANAMKE ANAHITAJI KUITWA MAMA usichana basi na anatamani jina lake libadilike si Sofia tena anatamani kusikia mama fulani, sasa basi nimeamu nitafute mtoto kwa udi na kwa uvumba bila kuwa na mume nimeamua kufungua ukurasa mpya wa maisha naenda zangu mbali nikiwa na maana ya kuama
sitahiji uhusiano wowote na watu wa zamani wala comunucation wala rafiki wala shoga nabadilisha namba ya simu nafunga email yangu naenda kuanza upya marafiki na mashoga zangu mtanisamehe sana walio kuwa wapenzi wangu ndio kabisaaa hawatakaa wanisikia wala kuniona nimeamua ndio maisha mapya wa kuzaa nae nishampata kwa vile nimeona hana mwelekeo wa kuoa nikishabeba mimba tuu namtoroka hatakaa anisikie kwa chumvi wala kwa sukari ni mimi na mwanangu tuu, habari ndio hiyo

Siungi mkono uamuzi wako kwa sababu mtoto anahitaji mapenzi ya Wazazi wote wawili na kuwa single mother siyo rahisi kama unavyofikiria hata kama una mapesa ya kumwaga kwa sababu malezi ya mtoto si kuwa na pesa tu, jifikirie mwenyewe maana inaelekea umelelewa katika nyumba ya Baba na Mama, hivi mzazi wako mmoja angeamua kukutorosha na kutomjua Baba/Mama yako katika huu umri wa utu uzima ungejisikiaje kwa kutomfahamu Baba/Mama yako?

Unachotaka kukifanya cha kupata mimba halafu kuingia mitini si sawa hata kidogo umekuwa very selfish na kujifikiria wewe tu badala ya kuwafikiria wahusika wengine wawili huyo atakayekutia mimba na mtoto atakayezaliwa.
 
Dada,pole sana kwa msongo wa mawazo. Nimeona wadada wameolewa na miaka 38 na wakapata watoto double double.sidhani kama unahitaji kuwa desperate! By the way,sio pesa pekee inahitajika kule mtoto, kuna emotional support utahitaji pia.

kubadili namba na email ni kujitenga na maisha na itakuletea depression na uwezekano wa kuwa abused. I hope sio ushauri wa huyo mwanaume
 
nitamwambia mtoto wangu ukweli SIKUOLEWA nilizaa tuu
ili heshima yangu isipotee na baba yake hakuaanahitaji mtoto thats all.

Nimekwambia hivyo cz best friend wangu ni product ya kisa kama chako,mama yake alimdanganya mara baba amekufa mara baba hamtaki,ila dunia hakuna siri alichunguza hadi akapajua kwa baba yake,siku anaenda anaambiwa baba yako yupo mgonjwa wahi kijijini hata umuone,kufika huko anakuta baba amekata roho,hadi sasa best yangu anamuona mama yake ni kama gaidi number moja duniani na hataki hata kumuona wala kuwa katika maisha yake, tumesuluhisha tumeshindwa.

Ushauri wangu kuwa single parent but angalia ni jinsi gani mtoto atamjua baba yake
 
Nimekwambia hivyo cz best friend wangu ni product ya kisa kama chako,mama yake alimdanganya mara baba amekufa mara baba hamtaki,ila dunia hakuna siri alichunguza hadi akapajua kwa baba yake,siku anaenda anaambiwa baba yako yupo mgonjwa wahi kijijini hata umuone,kufika huko anakuta baba amekata roho,hadi sasa best yangu anamuona mama yake ni kama gaidi number moja duniani na hataki hata kumuona wala kuwa katika maisha yake,tumesuluhisha tumeshindwa,
Ushauri wangu kuwa single parent but angalia ni jinsi gani mtoto atamjua baba yake
Geen desperation mbaya sana huyu utafikiri labda ameambiwa kuwa asipopata mtoto she will die
 
you are too selfish! mtoto ana haki zake, kati ya haki hizo ni kupata mapenzi ya wazazi wake wote, baba ni muhimu sana katika malezi ya mtoto. usijifikirie wewe tu.
 
mhh nasikitika hukutoa tangazo la hiyo ajira maana ungepewa cv za waungwana na ungepata nafasi zaid katika maamuz
 
Nimekwambia hivyo cz best friend wangu ni product ya kisa kama chako,mama yake alimdanganya mara baba amekufa mara baba hamtaki,ila dunia hakuna siri alichunguza hadi akapajua kwa baba yake,siku anaenda anaambiwa baba yako yupo mgonjwa wahi kijijini hata umuone,kufika huko anakuta baba amekata roho,hadi sasa best yangu anamuona mama yake ni kama gaidi number moja duniani na hataki hata kumuona wala kuwa katika maisha yake,tumesuluhisha tumeshindwa,
Ushauri wangu kuwa single parent but angalia ni jinsi gani mtoto atamjua baba yake

story yangu mbona kama tofauti kidogo nahiyo, mimi mwanaume nitakae beba mimba yake hana shida ya mtoto wala ya kunioa iweje nimwambie nina mimba?

Sipendi kubahatisha maisha napenda nijipange niamue, sitamficha mtoto kitu nitamweleza baba yake hakua anamuhitaji ila akiwa mkubwa nitamruhusu amtafute au kwa kipindi hicho kama nitakua najuaalipo nitamuonyesha baba yake.
 
you are too selfish! mtoto ana haki zake, kati ya haki hizo ni kupata mapenzi ya wazazi wake wote, baba ni muhimu sana katika malezi ya mtoto. usijifikirie wewe tu.
hakuna uselfish wowote hapa sio kila mtu anapata bahati ya kulelewa na wazazi
wote wawili, mie mwenyewe
sipendi nifanyeje sasa?
 
Sina uhakika sana kama staili hiyo ndiyo suluhisho, Maana huyo mtoto utakaye zaa still atakusumbua sana kuulizia baba yake kitendo ambacho kimsingi kitakurudisha kule kule ulikokukimbia.
Kukimbia tatizo si suluhu ya tatizo, unaweza kubaki na kufanya maamuzi magumu ya kubadili tabia na kutokuwachekea tena waliokutenda na bado ukawa na maisha mazuri ya kuheshimika huko baadaye.
Nashindwa kukushauri sana maana sikumbuki kisa chako cha mwanzo kilikuwa ni nini hasa ...
hatakama sio sahihi ila nitakua uptodate na maisha sio wenzangu wenye umri wangu wana ongelea wajukuu mi ndo kwanza naongelea kutafuta mtoto lol
 
Chukua muda kaa chini, usifanye uamuzi wowote wakati bado una hasira au kinyongo na mtu. Kuwa na mtoto ni jambo zuri wether kuna baba au lah. Lakini usichukulie mtoto kama object ya kukusahulisha machungu ya maisha, kuwa mama esp single mama takes a lot of work and dedication na love is most important thing of all.
 
32 years mbona bado unadai?una miaka mingi tu kabla ya menopause.au kila rafiki zako wana watoto?jipe muda kwanza usifanye haraka.inaomyesha kama una stress hivi.jipe busy kwa mambo mengine.ila kama uamuzi wako hautobadilika.good luck.unaweza ukawa single mum,ukawa mama mzuri tu kwa mtoto wako,kwa wanaosema,maisha bila baba kwa mtoto sio mazuri.mimi nimeishi bila baba,mama alikuwa the best mum,na sijaona mapungufu yoyote yale katika malezi niliyolelewa
hee 32yrs kidogo? Huku nikunipa moyo tuu, kuna dada mmoja alifika 36yrs kaambiwa amebakisha 1yr aingie kwenye menopouse, kama hujawahi kuzaa menopouse inaanza mapema sana tofauti na walioza inachelewa hadi kwenye 60ys
 
nashukuru sana kwa ushauri mzuri, ukweli ushauri wako umenigusa na umenifanya nilie sana kwa uchungu ila sina lakufanya, sijawahi kutamani wala kuvutiwa na maisha ya single parent na nisingependa yatokee kwenye maisha yangu kamwa ila sina jinsi kaka yangu, kwasababu sijaolewa isiwe ndio sababu yakukosa mtoto nina 32yrs sasa keshokutwa tuu naingia kwenye menopose nikose mume na mtoto pia nikose? Ujanani nimelilia mume sijampata inamaana uzeeni nije nililie mtoto tena noöo, kuna watu wamefiwa na waume lakini watoto wanawafariji, watoto ni hazina kwenye maisha nikikosa mtoto sitakua na thamani yoyote maishani, nimejitahidi kùvumilia na kusubiri ila naona nimefika mwisho siwezi tena nimechoka nimechoka nimechoöooka nakubali aibu dharau na kashfa zitakazoniface sina ujanja wala mbinu yani sijiwezi mawazo yangu yamefika mwisho sina lakufanya0


bado nakusisitiza kutulia na utapata amani moyoni mwako na kujua kuwa heshima sio kuwa na mtoto tu bali kuwa mtu mwenye kufanya maamuzi sahihi na mvumilivu wkt wa mapito,Amani ya Mungu ukiiruhusu maishani mwako inaweza kuwa ni tofauti na amani ambazo tunazitafuta za kutengeneza sisi wanadamu hapa duniani km hiyo ambayo unaitafuta dada 'chokochoko',amani ya kutengeneza haidumu dada yangu maana ipo siku itakuliza km ambavyo imekufurahisha kwa muda mfupi,'Mungu alisema amani niwapayo mi si kama iwapayo ulimwengu' hapa alimaanisha kudumu kwa hiyo amani ya Mungu.

watu wengi wameshauri usiendelee na huo mpango na hata waliokukubalia pia wameweka tahadhari kwako kwani wameona mengi kwenye maeneo ambayo wanaishi na ambapo ndo maana tunashauriana kwani sio vyepesi kuyaona yote yanayotokea duniani kwani sisi hatupo kila sehemu ila sehemu watu na hao wameyaona hayo mambo na madhara yake ndo maana wameshauri.
Nakusihi tulia usikilize ushauri wa watu.

You are diverting from the smooth road to the rough road where you will need maintenance of your spare parts everyday because of the corrugations u dont see for now ,when you will be tired of maintenance,the days might be bitter than now!

Make wise decision plz.
 
Chukua muda kaa chini, usifanye uamuzi wowote wakati bado una hasira au kinyongo na mtu. Kuwa na mtoto ni jambo zuri wether kuna baba au lah. Lakini usichukulie mtoto kama object ya kukusahulisha machungu ya maisha, kuwa mama esp single mama takes a lot of work and dedication na love is most important thing of all.
hili jambo silifanyi makusudi ila inanibidi sina muda wa kusubiri tena miaka inakimbia sana nami nahitaji kuzaa angali na nguvu 32ys kwakusubiri inatosha kabisa
 
hee 32yrs kidogo? Huku nikunipa moyo tuu, kuna dada mmoja alifika 36yrs kaambiwa amebakisha 1yr aingie kwenye menopouse, kama hujawahi kuzaa menopouse inaanza mapema sana tofauti na walioza inachelewa hadi kwenye 60ys


Tips za kumuelewa that Special Single lady you have fallen for…
A%20S-heart-2.gif


Habari wana JF/GT... Naamini all is well na going on in the same pace...

Uelewa wangu ni kwamba hata tufanye vipi au tuchukue masomo hadi PHD kusoma ama kuelewa your opposite sex, ni vigumu saana kwa wanawake kuelewa akili na mawazo ya kaka zetu zaidi ya njia ya presumption tu… na vivyo hivyo kwa wanaume dhidi ya wanawake.. Kwa Yule in need na kutapatapa kuweza kuelewana nimetoa tips kwa kina kaka ni jinsi gani ya kuwaelewa hao single ladies; ambazo nafahamu tokana na observation za rafiki, ndugu na jamaa ambao ni wadada… hii yaweza walau kukusaidia kumuelewa kidogo dada ulomwangukia…

14 – 18 years..

Hapa maelezo sio marefu kwa ufupi, hii age nawaomba kaka/baba zetu muache kuwavua nguo za ndani hawa watoto… pamoja na kusema isha kua common kweli haipendezi… enways hii sasa topic nyingine…

19 – 25 years

Anajiona kua kawa mtu mzima na hutaka saana awe treated kama mdada..She is half wild, minimally exposed, akiamini kua yeye ni yeye.. hujiachia saana, uvumilivu katika mahusiano sio saana after all wanaomtongoza na kum admire ni wengi saana, anajiona na kuamini kwa dhati ni mzuri hata kama sio (ila hukereka na kiungo kimoja wapo mwilini i.e pua, mdomo, boobs, wowowo, miguu, n.k). Katika love kwake kila kitu ni black and white… Hujiamini pia katika mahusiano na huamini sababu tu analala na the guy – hawezi dhubutu kumuacha yeye (the lady) au kumchanganya na wengine… Na la muhimu huamini huwezi ingia katika mahusiano kama hujapenda… Hii ndo period ambayo wadada tunakua most naïve… Stage hii mwanaume akimuangalia anajua kapendwa…

26 – 32 years

Fully exposed, fully discovered, fully endowed… almost perfect (in attitude as well as physical make up)… In this stage she is HOT! Yuko more calculated, katika mahusiano, mapenzi si lazima but sex muhimu saana.. she is independent (sometimes just pretending to be..).. anajua ni nini anataka, mpaka kafika hapa kaumizwa mara nyingi hivyo yuko makini na ana prefer kuingia mahusiano na a guy anaeonekana yupo serious in a relation na ni husband material.. hata akipenda sana wengi huogopa kuonesha mapenzi ya dhati kwa mpenzi wake.. tokana na past experiences… Stage hii mwanaume akimuangalia anaamini anaangaliwa as a result of lust/tamaa…

33 – 38 years

Bado yupo desirable, yupo more wise, a bit quiet.. bahati mbaya in most cases very depressed hasa kuhusiana na issue ya kupata mume.. she so needs to get married to the extent anaweza angukia pabaya ili mradi tu apate huyo mume.. katika stage hii mahusiano hayaangalii mapenzi wala sex.. it is more about the image kua lazima nae aolewe (image ambayo inakua forced tokana na jamii ilomzunguka) in this age hutambua kua rafiki zake woote wameolewa na wamesha pata first, second or third borne.. Hili group hupenda serious relationships with serious men wa kuwaoa but bahati mbaya saana wanaofaa kumuoa most wanafamilia ama stable girlfriends/fiancee… hio hupelekea wengi kukata tamaa na kuzaa tu na jamaa ambae kwake anaona ana qualify.. hapa usishangae hata ambae hakujui kwa bibi/babu anashawishika kwenda hasa anapopata mume wa mtu ambae very potential husband material… Stage hii mwanaume akimuangalia anahisi kafananishwa…

39 years and onwards…

Every man walomzunguka may know she is single but very few want to approach her.. huyu yupo kwa ajili ya maisha yake binafsi, she has given up kupata life partner! Kwa wale wanaopenda /endekeza sex – one night stands ni kwa saaana… Stage hii mwanaume akionesha interest anaelewa deep down in her kua ni pa kupumulia (for the guy…) And this stage ni maarufu saaana kwa Serengeti Boys….
 
Back
Top Bottom