Nimeamua nitafute mtoto kwanza

Siungi mkono uamuzi wako kwa sababu mtoto anahitaji mapenzi ya Wazazi wote wawili na kuwa single mother siyo rahisi kama unavyofikiria hata kama una mapesa ya kumwaga kwa sababu malezi ya mtoto si kuwa na pesa tu, jifikirie mwenyewe maana inaelekea umelelewa katika nyumba ya Baba na Mama, hivi mzazi wako mmoja angeamua kukutorosha na kutomjua Baba/Mama yako katika huu umri wa utu uzima ungejisikiaje kwa kutomfahamu Baba/Mama yako? Unachotaka kukifanya cha kupata mimba halafu kuingia mitini si sawa hata kidogo umekuwa very selfish na kujifikiria wewe tu badala ya kuwafikiria wahusika wengine wawili huyo atakayekutia mimba na mtoto atakayezaliwa.
nashukuru kwa ushauri mzuri
basi sitatoroka wala sitamficha baba mtoto wake hatakama hatakua anamuhitaji ila kuzaa muhimu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
nashukuru kwa ushauri mzuri
basi sitatoroka wala sitamficha baba mtoto wake hatakama hatakua anamuhitaji ila kuzaa muhimu

Nimefurahi sana CK*2 kuona kwamba ushauri wangu na wa wengine umesaidia kubadilisha maamuzi yako.

Kila la heri katika jitihada za kutafuta ukitakacho. Mambo yakijipa rudi hapa kutufahamisha.

 
Last edited by a moderator:
Kwani huko uendako ni mji wa wanawake tu? Acha maskhara maisha yapo hapa hapa labda kama umeharibu mahali.NB:kuna ngoma kumbuka kupima maana zoezi la kutafuta mtoto lazima upekue bbe
 
Uwepo wa Baba watosha sana....

Uwepo maana yake nini????K

wani akiwa huko aliko hatokuwepo??
Mtu anaeishi na mtoto bila kumpa malezi hana tofauti na asiyekuwepo!!
Malezi sio urembo..ni kazi!!Na kama hiyo kazi mtu haiwezi basi uwepo wake hauna maana!!
 
Right on bro


Just because Mr so and so isn't responsible it doesn't mean men aren't needed to raise a child. There is a good reason why you need both parents to make a baby and so does raising it. Revolutionary speaking, a female human needs to choose the right male who will stick around long enough until their offsprings are able to pass on their genes.

Children learn by observing others, especially their authority figures, role playing everything early on in their life. If one parent is missing they end up being adults who lack something, that something could be anything. Now if a woman chooses a wrong partner who is abusive, then that is her problem but don't tell me that it's OK to just pick a random guy, have him pregnant you, so you can raise a child by yourself. I've seen it many times women doing this, "oh! I can raise my child by myself" only to get her kids messed up in the head, get on drugs or become dysfunctional.

Even though some kids turn out good the numbers don't lie, most don't.

Single parenting is an issue that is costing our societies, the results of many studies reveal that, kids raised by single mothers tend to misbehave twice as much as those raised by both parents. So this thing of "I can do all by myself" is hurting all of us as a society, instead, let us be careful on which one we choose to bed with, so our children can have a chance to have both parents in their lives.

Read on single parenting issues


I never said they aren't needed....
I just said that fathers that are not responsible are worthless...and their not being around doesn't make much of a diference.

Alafu unaposema kwamba mtu anapokua sio responsible haina maana hahitajiki kulea una maana gani??
Kutokua responsible sindo kutokulea kwenyewe au uwepo wake tu kama gogo unaleta tofauti???

Kuhusu watu wakuwaangalia..kujifunza kutoka kwao wapo wengi ambao sio baba zao ila wanaweza chukua huyo nafasi na kuitumia vizuri sana! Kuna wajomba na marafiki ambao wako more involved kuliko baadhi ya baba wazazi wanavyoweza hata kutamani kuwa.Kwahiyo bado nasimamia point yangu kwamba baba asiyejishughulisha ni sawa na asiyekuwepo...na kwasababu tu baba mzazi hayupo haina maana mtoto ''analazimika kukua bila male figure maishani mwake''
 
Hongera kwa maamuzi magumu mama nanihii mtarajiwa.
Hayo ni maamuzi ya upofu ndg yangu. Nina uzoefu wa kukutana na wanawake wanne tofauti na mikoa tofauti ambao wakati wa ujana wao walikuwa na hulka ya kuwa single parents.

Na walifanikiwa katika theluthu mbili ya ujana wao lakini taabu na kero zilianza baada ya watoto kupata makamo na kujitathmini wenyewe kwa kulinganisha na wenzao.. na ndipo walipoanza kuwasumbua mama zao kudai waonyeshwe baba zao na hata km ikibidi basi makaburi yao, ama jamaa za baba yao, kwani walijiona hawajatimia kwa kukosa kuwa na mtu wa kumwita baba...na kwa bahati mbaya hali hiyo iliwakuta wakati vipato vyao wakati huo ni duni na wameshastaafu kazi.

Cha moto wamekiona na mmoja wao alishasikika akijiapiza kwa kosa aliliolifanya. Jiandae kwa 'maasi' km hayo kutoka kwa mwao/wanao mwenyewe! God was no a fool when He decided to create a man and a woman.
 
I never said they aren't needed....
I just said that fathers that are not responsible are worthless...and their not being around doesn't make much of a diference.
That is true that they are worthless but It does make a big impact to a child if daddy isn't around.

Alafu unaposema kwamba mtu anapokua sio responsible haina maana hahitajiki kulea una maana gani??

Namaanisha kuwa kama kuna baadhi ya wanaume wasiotekeleza wajibu wao haimaanishi wanaume wote kwa ujumla hawana maana.

Kutokua responsible sindo kutokulea kwenyewe au uwepo wake tu kama gogo unaleta tofauti???
Hapana bali tatizo litaonekana kwa familia

Kuhusu watu wakuwaangalia..kujifunza kutoka kwao wapo wengi ambao sio baba zao ila wanaweza chukua huyo nafasi na kuitumia vizuri sana! Kuna wajomba na marafiki ambao wako more involved kuliko baadhi ya baba wazazi wanavyoweza hata kutamani kuwa.Kwahiyo bado nasimamia point yangu kwamba baba asiyejishughulisha ni sawa na asiyekuwepo...na kwasababu tu baba mzazi hayupo haina maana mtoto ''analazimika kukua bila male figure maishani mwake''

Naona hujanielewa vizuri, sikatai hao wajomba kuchukua majukumu pale ambapo mambo yameharibika (kifo, ugonjwa, ulevi, kuvunjika kwa ndoa n.k) ninacho pinga ni pale mdada anapoamua kujishikisha mimba kwa njemba yeyote kama sperm donor ili ajilele mtoto peke yake. Hilo ni kosa kwasababu inamnyima haki yule mtoto kuwa na baba katika maisha yake.
 
Back
Top Bottom