dasenior
Senior Member
- Jul 24, 2012
- 138
- 56
Pole sana kwa tatizo hilo lililokukumba kaka,ulifanya busara sana ulipokaa kikao binfsi wewe na mkeo pasi na kushirikisha mtu,na hiyo ikiwa kama ni hatua ya kwanza ya utatuzi wa matatizo ya kifamilia ndani ya nyumba ili kuokoa ndoa yenu...,
je,ulipoona imeshindikana hasa kwa muda huo wa miaka saba na tatizo likiendelea kukomaa ni kwanini haukushirikisha wazee wenye busara zao ili mkalizunguza hilo suala na mkeo akatoa matatizo yake?,..
Ni kosa kubwa mno umelifanya hasa kwa uamuzi uliochukua na pengine hauwezi jua dhumuni la mkeo,pengine ni kukupima uaminifu wako na uliwahi kujiuliza endapo siku itatokea na akagundua kuwa unatembea na housegirl kisha yeye akawa wa kwanza kufika kwa wazee kukushtaki,utajielezaje?
je,ulipoona imeshindikana hasa kwa muda huo wa miaka saba na tatizo likiendelea kukomaa ni kwanini haukushirikisha wazee wenye busara zao ili mkalizunguza hilo suala na mkeo akatoa matatizo yake?,..
Ni kosa kubwa mno umelifanya hasa kwa uamuzi uliochukua na pengine hauwezi jua dhumuni la mkeo,pengine ni kukupima uaminifu wako na uliwahi kujiuliza endapo siku itatokea na akagundua kuwa unatembea na housegirl kisha yeye akawa wa kwanza kufika kwa wazee kukushtaki,utajielezaje?