UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,598
- 11,993
Hee hii dunia ina mambo ,hivi hujaskia kuna jamaa amezaa na mama yake mzazi na anaishi nae kama mke na mume na mama anasema/anajisifu hajawahi pata mwanaume kama mtoto wake ,hii sijui ilikua Mtwara au Lindi sina kumbukumbu sahihiNimejaribu kutafakari baba mzazi anawezaje kumlawiti mwanae?
Sidhani kama mama mzazi anaweza kuingiliwa kimwili na mwanae!