Nimeamua kuachana na dini, nitamuabudu Mungu kwa utaratibu wangu mwenyewe

Kanisa ni jumuiya Ya kibinadamu iliyotengenezwa na Mwanadamu mahususi kupeleka injili, kwa wasio amini, Kanisa kiroho ni wewe Mwenyewe uliyempokea Yesu, hivyo kasoro mbali mbali ndani ya Kanisa zisikufanye u doubt uwepo wa Mungu, biblia ni kitabu cha kweli, Yesu ni kweli
 
Nimejiridhisha kuwa hizi dini zetu hasa hizi kubwa ukristo na uislam ni dini za uongo na uzushi,zipo kwa ajiri ya maslahi ya makundi maalumu ili kujinufaisha na kutawala dunia kwa kuwafanya watu wao kuwa wajinga ili watu wachache waishi kwa jasho na damu la watu wengine.
Kuna sababu kubwa nne kuonyesha hizi dini ni utapeli mtupu

Kwanza dini zimeleta vitabu na kujimilikisha hivyo vitabu na kuviita ni neno la MUNGU wakati ni uongo mtupu,tukianza na kitabu cha waislamu kinachoitwa Quran inasemekana maandishi ya icho kitabu yalitoka kwa MUNGU kwa kutelemshwa kutoka mbinguni!! Na aliyetelemshiwa hayo maandishi ni mtu alieitwa Muhammad, hakuna ushahidi wowote kuonyesha ni lini na wakati gani hayo maandishi yalitelemshwa zaidi ya maneno ya uyo mtu Muhammad aliamka tu asubuhi na kuja na hekaya zake kuwa ameshushiwa maandishi na MUNGU.

Ukitizama mengi ya hayo maneno yamejaa chuki,visasi,ghazabu,ubaguzi n.k hapa kuna maswali ya kujiuliza kuhusu uhalali wa hayo maandishi hivi MUNGU kweli aliewaumba watu wake bila ushauli wa kitu chochote, na mwenye uwezo wa kuwafanya chochote muda wowote watu wake aliowaumba, harafu awatumie maandishi ya kuwatisha kuwabagua kwa kuwaita majina ya kutisha kana kwamba hakuwaumba yeye!?

Hapo ndipo unapongundua maandishi hayo hayakutoka kwa MUNGU bali ni mbinu na hekaya za watu ili kuwatawala wenzao kwa manufaa yao.

Tukija kwenye kitabu cha wakristo kinachoitwa biblia!! Unagundua kuwa hakikutoka kwa MUNGU bali ni maandishi ya watu wachache kuweka mawazo yao ili kutawala wenzao kwa manufaa yao ya kisiasa,kimwili na kipesa.

Leo hii tizama maisha ya watu wanaojiita viongozi wa kidini mapadre,wachungaji nk wanaishi kwa jasho la wenzao kwa mahubiri ya kutisha,kuwafundisha kuwapa wao sadaka na kila kitu,uku waumini wakibaki masikini wa kutupwa na wao kukaa mezani na watawala kunywa na kula uku nyumba zao zikizungukwa na ukuta mkubwa walinzi, camera na mbwa wakali!

Wakivaa nguo za gharama,vito vya dhahabu,manukato ya gharama na magari ya kifahari,na wale waumini wenye pesa ndio wanaruhusiwa kuwakaribia ila wale masikini wanaishia kuombewa na kutolewa mapepo!! Masikini wana mapepo!! Matajiri wana neema!!

Ndugu zangu hizi dini zimeleta chuki, mauaji,ubaguzi, zimeondoa umoja zimeleta matabaka na ujinga,tujiulize tu kwa akili ya kawaida zimetoka kwa MUNGU kweli au ni miradi ya watu wabunifu tu wa kale kama waliobuni magari,ndege,simu,umeme nk?

Jibu hizi dini ni miradi ya wabunifu wa kale ambao walizibuni ili kututawala na kula bila kutoa jasho jingi. Mimi binafsi yangu hizi dini naziona kama za utapeli siziamini wala kuzikubali, nina amini MUNGU yupo kabisa sio kwasababu ya dini ni kwasababu ya mazingira na majira,nitatenda mambo mema kwasababu ninapenda amani na ustawi wa watu wote,nitatoa sadaka ila sio katika vikapu vya hawa matapeli ya kiislamu na kikristo ila nitatoa sadaka kwa watu na waitaji wengine ila sio kuwapa hawa viongozi wa dini hizi za kitapeli wanaotaka kula bila kufanya kazi wakati hawana ulemavu wowote.

MUNGU hana ubaguzi wowote kama wanavyofundisha hawa matapeli masheikh na wachungaji.
Heshima yako mkuu😍😍😍
 
Nimejiridhisha kuwa hizi dini zetu hasa hizi kubwa ukristo na uislam ni dini za uongo na uzushi,zipo kwa ajiri ya maslahi ya makundi maalumu ili kujinufaisha na kutawala dunia kwa kuwafanya watu wao kuwa wajinga ili watu wachache waishi kwa jasho na damu la watu wengine.
Kuna sababu kubwa nne kuonyesha hizi dini ni utapeli mtupu

Kwanza dini zimeleta vitabu na kujimilikisha hivyo vitabu na kuviita ni neno la MUNGU wakati ni uongo mtupu,tukianza na kitabu cha waislamu kinachoitwa Quran inasemekana maandishi ya icho kitabu yalitoka kwa MUNGU kwa kutelemshwa kutoka mbinguni!! Na aliyetelemshiwa hayo maandishi ni mtu alieitwa Muhammad, hakuna ushahidi wowote kuonyesha ni lini na wakati gani hayo maandishi yalitelemshwa zaidi ya maneno ya uyo mtu Muhammad aliamka tu asubuhi na kuja na hekaya zake kuwa ameshushiwa maandishi na MUNGU.

Ukitizama mengi ya hayo maneno yamejaa chuki,visasi,ghazabu,ubaguzi n.k hapa kuna maswali ya kujiuliza kuhusu uhalali wa hayo maandishi hivi MUNGU kweli aliewaumba watu wake bila ushauli wa kitu chochote, na mwenye uwezo wa kuwafanya chochote muda wowote watu wake aliowaumba, harafu awatumie maandishi ya kuwatisha kuwabagua kwa kuwaita majina ya kutisha kana kwamba hakuwaumba yeye!?

Hapo ndipo unapongundua maandishi hayo hayakutoka kwa MUNGU bali ni mbinu na hekaya za watu ili kuwatawala wenzao kwa manufaa yao.

Tukija kwenye kitabu cha wakristo kinachoitwa biblia!! Unagundua kuwa hakikutoka kwa MUNGU bali ni maandishi ya watu wachache kuweka mawazo yao ili kutawala wenzao kwa manufaa yao ya kisiasa,kimwili na kipesa.

Leo hii tizama maisha ya watu wanaojiita viongozi wa kidini mapadre,wachungaji nk wanaishi kwa jasho la wenzao kwa mahubiri ya kutisha,kuwafundisha kuwapa wao sadaka na kila kitu,uku waumini wakibaki masikini wa kutupwa na wao kukaa mezani na watawala kunywa na kula uku nyumba zao zikizungukwa na ukuta mkubwa walinzi, camera na mbwa wakali!

Wakivaa nguo za gharama,vito vya dhahabu,manukato ya gharama na magari ya kifahari,na wale waumini wenye pesa ndio wanaruhusiwa kuwakaribia ila wale masikini wanaishia kuombewa na kutolewa mapepo!! Masikini wana mapepo!! Matajiri wana neema!!

Ndugu zangu hizi dini zimeleta chuki, mauaji,ubaguzi, zimeondoa umoja zimeleta matabaka na ujinga,tujiulize tu kwa akili ya kawaida zimetoka kwa MUNGU kweli au ni miradi ya watu wabunifu tu wa kale kama waliobuni magari,ndege,simu,umeme nk?

Jibu hizi dini ni miradi ya wabunifu wa kale ambao walizibuni ili kututawala na kula bila kutoa jasho jingi. Mimi binafsi yangu hizi dini naziona kama za utapeli siziamini wala kuzikubali, nina amini MUNGU yupo kabisa sio kwasababu ya dini ni kwasababu ya mazingira na majira,nitatenda mambo mema kwasababu ninapenda amani na ustawi wa watu wote,nitatoa sadaka ila sio katika vikapu vya hawa matapeli ya kiislamu na kikristo ila nitatoa sadaka kwa watu na waitaji wengine ila sio kuwapa hawa viongozi wa dini hizi za kitapeli wanaotaka kula bila kufanya kazi wakati hawana ulemavu wowote.

MUNGU hana ubaguzi wowote kama wanavyofundisha hawa matapeli masheikh na wachungaji.
Your late, haya maamuzi nlianza yafanya toka niko darasa la sita, nilipata upinzani mno, ila walikuja nielewa late sana, mpaka sasa ni mtoto mtiifu kwa wazazi na jamii yangu, nna hofu na Mungu sio dini
 
Twende mbele turudi nyuma swali linakuja je wale mababu wa mababu zetu waliofariki kabla ya ujio wa hizi dini 2 ni kwamba hawataiona pepo AKA mbingu ?

Swali hili hili aliwahi kuuliza firauni kumuuliza Nabii Musa

Qur an:Surat Taha 20:51-52
(20:51) Pharaoh asked: "Then, what is the state of the former generations?"24
24. The question posed by Pharaoh was very subtle. He meant to say: If there is no other lord than the One Who has given a distinctive form to everyone, then what will be the position of our forefathers who had been worshiping other deities since centuries? Were all those people in error? Did all of them deserve torment? Did they all lack common sense? Thus Pharaoh perhaps wanted to give vent to his anger against Prophet Moses (peace be upon him) for showing disrespect to his forefathers. At the same time he also wanted to incite his courtiers and the common people of Egypt against the message of Prophet Moses (peace be upon him). And this trick has always been used against the people who propagate the truth and has always proved very effective to incite those people who lack common sense. This same trick has been mentioned here for it was being employed at the very time against the Prophet (peace be upon him) by the people of Makkah.


Ω‚ΩŽΨ§Ω„ΩŽ ΨΉΩΩ„Ϋ‘Ω…ΩΩ‡ΩŽΨ§ ΨΉΩΩ†Ϋ‘Ψ―ΩŽ Ψ±ΩŽΨ¨Ω‘ΩΩ‰Ϋ‘ فِىۑ كِΨͺٰبٍۚ Ω„ΩŽΨ§ ΩŠΩŽΨΆΩΩ„Ω‘Ω Ψ±ΩŽΨ¨Ω‘ΩΩ‰Ϋ‘ ΩˆΩŽΩ„ΩŽΨ§ ΩŠΩŽΩ†Ϋ‘Ψ³ΩŽΩ‰


(20:52) Moses said: "Its knowledge is with my Lord, recorded in the Book. My Lord does not err, nor does He forget."25
25. This answer is full of wisdom. If Prophet Moses (peace be upon him) had said: Yes, they all lacked common sense and had gone astray and would become the fuel of Hell, this answer, though true, would have served the very purpose Pharaoh had in mind in putting the question. But the answer given by the Prophet was true and it frustrated the trick of Pharaoh as well. His answer was to this effect: Well, those people have now gone before their Lord, and I have no means of judging their deeds and intentions. However, their whole record is safe and secure with Allah, and nothing can escape Him. Allah alone knows how to deal with them. What concerns you and me is our own position and attitude to life. We should be more concerned about our own end than of those who have already passed away into Allah’s presence.
 
Unamuuliza mwenzako umevuta wapi?Si ajabu wewe hapo ulipo tayari umelewa chakari
Religion is opium of the people alisemaga jamaa mmoja mkomunist yaani dini ni bangi kwa waliyovutishwa watu wewe mmoja umeshalewa.
Naomba ndugu yangu ujue kitu kimoja kupinga dini sio kumpinga mungu
Mimi naamini kumcha mungu sio kwenda kanisani au msikitini.

Raisi Abraham Lincolin alikuwa mkristo lakini kiasi flani asiye muumini
Alipata kuulizwa dini yako ni nini? akajibu
Ukimfanyia mtu mwingine ubaya nachukia.Ukimfanyia mtu mazuri nafurahi hiyo ndio dini yangu
Acha kucomment kwa mhemko mkuu.

Ukisoma comment yangu utaelewa nimemaanisha nini.
 
Achilia mbali Mwamedi, mcheku eti nabii Daudi na Sele, ha ha ha ha
Daudi naye si kama Mohammed, alikuwa anabaka wake za watu na kuua waume zao kisa nyege tu. Leo hii watu wanazaa mtoto hapa Tanzania unamuita Daudi, si kumtwisha laana tu mtoto, akija kuwa mbakaji je?
 
Hizi dini ni uwendawazimu kila mwaka watu wanakusanya pesa kwa mamilioni eti wanaenda hija! Wengine Israel wengine macca,hakuna la maana uko zaidi ya kurudi na maji,eti maji matakatifu!!

Yaani MUNGU aumbe maji tofauti haya mabaya aya matakatifu!? Hawa watu waliobuni hizi vitu walitulia sana!! Imagine mtu anatoa mamilioni kwenda mashariki ya kati kwenda kumpiga shetani mawe imagine uko anauziwa kila kitu kuanzia nguo mpaka mataulo,yaani utakatifu uko kwa waarabu na wazungu,sisi uku tumejidharau na kubaguana leo mtu hawezi kunywa maji kwa mwafrika mwenzake kisa dini tofauti!

Hawezi kula kitoweo cha mswahili mwenzake kisa kimechinjwa na mtu tofauti na hizo dini zao,halafu wanakwambia dini zimetoka kwa MUNGU?

Leo kuna makampuni ya bidhaa hayawezi kuajiri mtu wa dini tofauti na ya mmiliki wa kampuni!! Ila pesa ya kuuza bidhaa wanapokea kutoka kwa yeyote halafu wanasema hizi dini zimetoka kwa MUNGU!! Dini ni ujinga dini ni mifumo ya kuwatawala wengine bila kutoka jasho.

Tumefikia hatua hata viongozi tunachagua kwa misingi ya dini!! Hata shule tunasomesha watoto wetu kwa misingi ya dini!! Dini zimeleta shida,dini zimeleta manyanyaso,dini zimeleta ubaguzi, kwa akili ya kawaida tu hazijatoka kwa MUNGU ni ubunifu wa wajanja wachache.
 
Nguzo ya uislamu ni kwenda saudi arabia.

Pato la taifa la saudi arabia linachangiwa na pesa za utalii wa waislamu wa dunia nzima.

Uchumi wa saudi arabia unategemea pesa za kuuza mafuta na pesa za watu kwenda kuhiji makkah..

Hiyo ni mbinu ya kupiga pesa kwa kisingizio cha dini.

Wajinga ndio waliwao. Mnafaidisha nchi za watu kwa kisingizio cha dini. Huku nyinyi mnabaki maskini
PITIA HAPA WAWEZA JIFUNZA KITU MUNGU AKIPENDA ATAKUONGOA
 
Hujaeleweka mkuu
PITIA HAPA WAWEZA JIFUNZA KITU MUNGU AKIPENDA ATAKUONGOA
 
Nimejiridhisha kuwa hizi dini zetu hasa hizi kubwa ukristo na uislam ni dini za uongo na uzushi,zipo kwa ajiri ya maslahi ya makundi maalumu ili kujinufaisha na kutawala dunia kwa kuwafanya watu wao kuwa wajinga ili watu wachache waishi kwa jasho na damu la watu wengine.
Kuna sababu kubwa nne kuonyesha hizi dini ni utapeli mtupu

Kwanza dini zimeleta vitabu na kujimilikisha hivyo vitabu na kuviita ni neno la MUNGU wakati ni uongo mtupu,tukianza na kitabu cha waislamu kinachoitwa Quran inasemekana maandishi ya icho kitabu yalitoka kwa MUNGU kwa kutelemshwa kutoka mbinguni!! Na aliyetelemshiwa hayo maandishi ni mtu alieitwa Muhammad, hakuna ushahidi wowote kuonyesha ni lini na wakati gani hayo maandishi yalitelemshwa zaidi ya maneno ya uyo mtu Muhammad aliamka tu asubuhi na kuja na hekaya zake kuwa ameshushiwa maandishi na MUNGU.

Ukitizama mengi ya hayo maneno yamejaa chuki,visasi,ghazabu,ubaguzi n.k hapa kuna maswali ya kujiuliza kuhusu uhalali wa hayo maandishi hivi MUNGU kweli aliewaumba watu wake bila ushauli wa kitu chochote, na mwenye uwezo wa kuwafanya chochote muda wowote watu wake aliowaumba, harafu awatumie maandishi ya kuwatisha kuwabagua kwa kuwaita majina ya kutisha kana kwamba hakuwaumba yeye!?

Hapo ndipo unapongundua maandishi hayo hayakutoka kwa MUNGU bali ni mbinu na hekaya za watu ili kuwatawala wenzao kwa manufaa yao.

Tukija kwenye kitabu cha wakristo kinachoitwa biblia!! Unagundua kuwa hakikutoka kwa MUNGU bali ni maandishi ya watu wachache kuweka mawazo yao ili kutawala wenzao kwa manufaa yao ya kisiasa,kimwili na kipesa.

Leo hii tizama maisha ya watu wanaojiita viongozi wa kidini mapadre,wachungaji nk wanaishi kwa jasho la wenzao kwa mahubiri ya kutisha,kuwafundisha kuwapa wao sadaka na kila kitu,uku waumini wakibaki masikini wa kutupwa na wao kukaa mezani na watawala kunywa na kula uku nyumba zao zikizungukwa na ukuta mkubwa walinzi, camera na mbwa wakali!

Wakivaa nguo za gharama,vito vya dhahabu,manukato ya gharama na magari ya kifahari,na wale waumini wenye pesa ndio wanaruhusiwa kuwakaribia ila wale masikini wanaishia kuombewa na kutolewa mapepo!! Masikini wana mapepo!! Matajiri wana neema!!

Ndugu zangu hizi dini zimeleta chuki, mauaji,ubaguzi, zimeondoa umoja zimeleta matabaka na ujinga,tujiulize tu kwa akili ya kawaida zimetoka kwa MUNGU kweli au ni miradi ya watu wabunifu tu wa kale kama waliobuni magari,ndege,simu,umeme nk?

Jibu hizi dini ni miradi ya wabunifu wa kale ambao walizibuni ili kututawala na kula bila kutoa jasho jingi. Mimi binafsi yangu hizi dini naziona kama za utapeli siziamini wala kuzikubali, nina amini MUNGU yupo kabisa sio kwasababu ya dini ni kwasababu ya mazingira na majira,nitatenda mambo mema kwasababu ninapenda amani na ustawi wa watu wote,nitatoa sadaka ila sio katika vikapu vya hawa matapeli ya kiislamu na kikristo ila nitatoa sadaka kwa watu na waitaji wengine ila sio kuwapa hawa viongozi wa dini hizi za kitapeli wanaotaka kula bila kufanya kazi wakati hawana ulemavu wowote.

MUNGU hana ubaguzi wowote kama wanavyofundisha hawa matapeli masheikh na wachungaji.
PITIA HAPA WAWEZA JIFUNZA KITU MUNGU AKIPENDA ATAKUONGOA
 
Twende mbele turudi nyuma swali linakuja je wale mababu wa mababu zetu waliofariki kabla ya ujio wa hizi dini 2 ni kwamba hawataiona pepo AKA mbingu ?
Hili swali na Mimi nimejiuliza Leo baada y kuona Uzi Fulani watu wanarushia maneno makali mno
 
Hapo ndio unagundua hizi dini ni ujinga,utapeli ni ubunifu wa matapeli na wanazuoni wa kale waliobuni njia ya rahisi ya kumchinja kuku bila kumkimbiza ili mradi yupo bandani.
𝒕𝒉𝒆𝒓𝒆 π’Šπ’” π’”π’π’Žπ’†π’•π’‰π’Šπ’π’ˆ π’ƒπ’†π’‰π’Šπ’π’… 𝒕𝒉𝒆 𝒔𝒄𝒆𝒏𝒆
 
Vitabu hivi vinabainisha dini na Mungu, kama unataka dini nzuri ni kusaidia hao wenye uhitaji na siyo vinginevyo. Mungu kimsingi hana dini ila anaishi kwenye watu wanaoamini dini hizo basi.
π’Žπ’Œπ’Šπ’”π’‰π’•π’–π’Œπ’‚ π’‰π’Šπ’—π’Š π’‰π’Šπ’›π’ π’•π’‚π’‚π’”π’Šπ’”π’Š π’›π’Šπ’π’‚π’›π’π’Šπ’•π’˜π’‚ π’Žπ’‚π’Œπ’‚π’π’Šπ’”π’‚ π’Œπ’˜π’Šπ’”π’‰π’‚π’‚π’‚
 
Hizi dini ni ujanja wa wanazuoni wa kale na tamaduni za watu, mengi yaliyopo kwenye hizi dini ni uzushi,ubaguzi,chuki na uhasama.

Leo wewe unamchukia john ila unampenda juma,hivyo hivyo kwa James anamchukia juma anampenda John. Mmetupa na majina yenu ya asili mnataka kuitwa Khadija, Muhammad christian na Joseph.

Hamtaki tena majina ya mslopaganzi, vangimembe, paramagamba au karumanzila. Dini ni utapeli.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wanaothamini dini kuliko utu na ubinadamu! Mtu anampenda Muhammad na Yesu ambao hawajui ila anamchukia jirani yake mweusi mwenzake.
Lakini kumbuka Mungu Yesu alituambia mpende jirani yako kwanza ambaye unamuona baadaye upende yeye.

Na kama binadamu wote tungefuata haya maagizo kusingekuwa na dhambi.

I love Jesus

I FIRMLY STAND WITH ISRAEL
 
PITIA HAPA WAWEZA JIFUNZA KITU MUNGU AKIPENDA ATAKUONGOA
Mtu hawezi kula kitoweo cha mwenzie kisa dini tofauti ila akiumwa akaitaji kuchangiwa damu au kuchangiwa kiungo kama Figo hapo achagui tena dini yeyote yule atakae mchangia anamshukuru ila akipona tu!

Atambagua hata yule aliemchangia hata hio damu au figo,hapo ndipo unapouona uwendawazimu wa hizi dini,damu utachangiwa na yeyote, daktari utatibiwa na yeyote ila ukipona tu unakutana na mafundisho ya dini yanakukataza usishirikiane na wenzio ili ubaki bandani uendelee kutumikishwa na misimamo ya dini. Halafu tunasema dini ni za MUNGU!! Dini ni upumbavu
 
Mtu hawezi kula kitoweo cha mwenzie kisa dini tofauti ila akiumwa akaitaji kuchangiwa damu au kuchangiwa kiungo kama Figo hapo achagui tena dini yeyote yule atakae mchangia anamshukuru ila akipona tu!

Atambagua hata yule aliemchangia hata hio damu au figo,hapo ndipo unapouona uwendawazimu wa hizi dini,damu utachangiwa na yeyote, daktari utatibiwa na yeyote ila ukipona tu unakutana na mafundisho ya dini yanakukataza usishirikiane na wenzio ili ubaki bandani uendelee kutumikishwa na misimamo ya dini. Halafu tunasema dini ni za MUNGU!! Dini ni upumbavu
Mkuu Dini ni addiction mbaya Sana,
Kataeni Dini, Dini ni ukoloni mbaya
 
Back
Top Bottom