El_shaddai
Member
- Aug 4, 2014
- 20
- 0
Lowasa ndio atakuja kuleta mabadiriko Tz
Mmetumwa Ninyi?...Nauliza ...Mmetumwaa....Eeh?
Wanga Wakubwa Ninyi
Tunataka Hela Zetu!!
Ebu kuwa kiakili. Sasa majukumu ya waziri mkuu ni yapi? Ulitaka afanye nini? Mtu hasifiwi anapotimiza majukumu yake, asifiwe anapopitiliza kiwango alichowekewa. EL alikuwa anatimiza majukumu yake bila kuvuka mstari.
raia Wengi Wa Nchi Hii Wana Matatizo Ya Akili toka Wanazaliwa
Hivi Utanishawishi Kwa Yapi Ya Maana Aliyonifanyia Huyu Mtu, Kwa Ajili Yangu Na Kwa Nchi Yangu?
Jigo
Ndio maana akasema vyote alivyofanya, angepitiliza kama sio akina mwakyembe na slaa kumbambikia tuhuma ambazo sio za kweli, then mtu makini anaachia ngazi ili uchunguzi ufanyike, nani mwingine toka enzi ya hayati sokoine kafanya hivyo..!? Edo ndio mwenyewe 2015 kura yangu atapata..!!
Unajuaje kama ndio ww una matatizo ya akili.....
Sbb kati ya sampling ya watu 100 wanasema anafaa...ww pekee unasema hapana...nani ana matatizo ya akili hapo..!!?? Jibu unalo
Kweli rushwa mbaya hadi unamuota Lowassa Usku!Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Hayati Nyerere alisema, mtu anayepataka ikulu kwa udi na uvumba, HATUFAI hata kidogo. Aogopwe kama ukoma.
Je, ukiota umekufa inakuwaje? Je utaamini kinacho fuata ni kifo? Acha ujinga, ndoto ni taarifa au onyo ambayo inamwitaji yule aliyeota ama akubali au akatae kwa kudumu ktk maombi kwa Mungu wake ili ile ndoto kama ni nzuri itokee na kama ni mbaya basi aombe isitokee, sasa ndugu unakosea kuweka ndoto hapa wewe dumu ktk maombi, ni ushauri tu.Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Je, ukiota umekufa inakuwaje? Je utaamini kinacho fuata ni kifo? Acha ujinga, ndoto ni taarifa au onyo ambayo inamwitaji yule aliyeota ama akubali au akatae kwa kudumu ktk maombi kwa Mungu wake ili ile ndoto kama ni nzuri itokee na kama ni mbaya basi aombe isitokee, sasa ndugu unakosea kuweka ndoto hapa wewe dumu ktk maombi, ni ushauri tu.