Nimeamini kweli Dar es Salaam ndio Tanzania kwingine kote kijijini

DAR-Mji ambao watu wake wanang'ara na wenye afya,bandari ya amani,wenye kipato cha juu,mabinti warembo,magari kibao, magari ya mwendo kasi,meli,treni zenu za mikoani zinaanzia hapa,daraja la kigamboni,barabara safi,ndege za kimataifa. Njoo haraka mkuu, mpauko utakutoka,hautawindwa kukatwa na mapanga,maji safi yapo sio yale ya ramboni,hautashindia michembe,mbege mpaka kukosa nguvu za kiume,wanzuki,kichuri,ugali uliokomaa,njaa za mara kwa mara za mikoani,uchawi na ushirikina,kuchuna ngozi,kusaka maalbino,kuua vikongwe na kula mizizi.
Wewe ni moja ya matapeli na washamba wakubwa wa hapa town Dar ambae unashinda kujipodoa na ma cream huko kwako uliko li ung'ae.
Wajanja wote hapa town wamewekeza mikoani kwenye investiment mbalimbali kama kilimo, migodi, majengo, usafirishaji, utalii n.k.
Unaona raha kutembea na kushinda town huku una kitu mfukoni na unaishi kwa kupiga mizinga wenzako waliowekeza mikoani.
Acha ushamba wewe, kumbuka msemo "ukitaka mali utaipata shambani".
 
Kipofu pia alimufumbuliwa macho mara moja akamuona punda , aliishi maisha yake yote akiamin punda ndo mnyama mkubwa kuliko wote
 
Wewe ni moja ya matapeli na washamba wakubwa wa hapa town Dar ambae unashinda kujipodoa na ma cream huko kwako uliko li ung'ae.
Wajanja wote hapa town wamewekeza mikoani kwenye investiment mbalimbali kama kilimo, migodi, majengo, usafirishaji, utalii n.k.
Unaona raha kutembea na kushinda town huku una kitu mfukoni na unaishi kwa kupiga mizinga wenzako waliowekeza mikoani.
Acha ushamba wewe, kumbuka msemo "ukitaka mali utaipata shambani".
Kumbe na wewe uko mjini nilifikiri uko mkoani!
Alafu unalima mwaka msimu/nzima debe la mahindi tsh 5,000,migodi serikali imewapa wazungu,unajenga kisha unapangisha chumba/frem tsh.5000 kwa mwezi,usafirishaji punda ikizidi sana bodaboda.Hutoki ng'o. At least we mjanja umekuja mjini kutafuta fedha.
 
Lushoto raha
1469394798146.jpg
 
Seriously...?kwamba hata warembo wanaipaisha dar..?ungeongelea uchumi sawa..dar imetengenezewa na kubebwa na serikali
..mwanza inajitutumua yenyewe..na bado inakandizwa..hakuna project kubwa mwanza
..kila kitu dar..ni tabia za small nation.
Kuwa na one big city only..for political purpose not economic ones.
 
Wewe ni moja kati ya washamba wakubwa wa dar,
Naifahama lifestyle ya dar na watu wake kuliko wewe.
Tanzania yote hakuna sehemu ambayo watu wanaishi maisha ya kifahari kuliko sehem nyingine kama unavyoongea wewe na naona ni kama unaota.
hivi nikuulize dar kuna kitu gani cha ajabu hadi unatetea watu wa mikoani waitwe wamepauka, wamekata tamaa ya maisha n.k?
Dar kumeendelea ki miundo mbinu, huduma za kijamaa, biashara n.k lakini haina maana watu wa dar ndio tunaishi maisha ya kifahari kuliko mikoani.
Acha ushamba wewe

Wewe ni zuzu bora ukae kimya kuliko kuwa na mihemko..takwimu zenyewe za serikali zinasema wakazi wa dar ndo wana maisha bora ikifuatia kwa mbali mikoa ya kilimanjaro na arusha... huko iringa shida tupu..we ni punguani mkubwa
 
Naifaham dar kuliko wewe na pia naifaham iringa kuliko unavyofikiria.
Dar ni jiji lenye wajanja wengi sana na pia lina washamba wengi vile vile.
Wajanja wengi wa dar wanaishi hapa town na pia wanawekeza kwenye ardhi na kilimo mikoani ikiwemo iringa mfn mashamba ya miti n.k
Ila washamba wa dar ni kama wewe unashinda kujipodoa ili uandane na jiji

we ni mshamba usiyejua kuwa ni mshamba na hii ni hatari sana na elimu yako ya mwendokasi...kwa hiyo mtu aliyewekeza kwenye kilimo huko iringa ndo mjanja...duh hii nchi kweli la saba wengi
 
Mji wa dar unakua kwa spidi kali sana kupita miji mingine hapa tanzania Hususani Mwanza na Arusha ambayo ndo miji mingine inayoonyesha kuwa na nguvu ya ukuaji....mfano dar imezidi Mwanza karbia seven times, inashangaza sana hii ni tofauti na kwa wenzetu, ukichukua miji ya Dallas, Las vegas, Los angels, Washington na Chicago kule USA, Au Tokyo, Osaka, Sapporo na Yokohama kule Japani haijaachana kwa gape kubwa kama hapa tz.. yaani ukitoka dar na kwenda miji mingine unahsi kama upo kwenye kichuguu dah...Karbuni wadau kwa maoni yenu

Dar es salaam

27594844930_f5e2fd7367_b.jpg


26890668795_829d11b4c5_b.jpg


27628992621_3bbd368695_b.jpg


27594844930_f5e2fd7367_b.jpg


20160515_123150_HDR_zpsfevuv2pa.jpg


ARUSHA
13464967984_71c6603253_b.jpg


13464624975_ccaa4f27b9_b.jpg


13464743353_20b18c1867_b.jpg


01TN11-IM1001-arusha-1475.jpg


02TN11-IM1002-arusha-1475.jpg

13614993_250022742057106_4217301883552215442_n.jpg




MWANZA
13627224_248880018838045_9057147007751071277_n.jpg


1421084_1495584730689864_6794511050079062732_o.jpg


b2_zpswx5jzikk.jpg


13620313_248879982171382_2371139207407595817_n.jpg


b3_zpsim9jqv5i.jpg


b1_zpsk79fpwwc.jpg
Hizi PICHA Umezipiga kwa kutumia Kamera ya Aina gani mkuu?Unaweza kunitumia PM Specifications zake.
 
acacia anachimba madini shinyanga na nyamongo huko.. ila head office kaiweka dar..

ceo hataki kukaa buzwagi...

usicheze na dar es salaam..

halliburton na petrobrass gesi wanachimba mtwara ila head office dar..

inshort dar es salaam ndio tanzania...

kwingine mbwembwe tu

Personally unafaidika na nini Dar ikiwa ndo Tanzania?
 
Dar Si mkoani tu, habari Ni Dodoma east zoo, kuleni jeuri yenu wazaramo na mazarau, mtadoda mpaka mkome sheynz type
 
Dar es salaam ndilo jiji lilnaloshikilia nafasi ya nne duniani kama jiji chafu, bora Magufuli na serikali yake ahamie Dodoma
 
Unaweza ukaishi sehemu iliyoendelea lakini wewe hujaendelea ni kama mtoa mada huenda unaishi hapo dar huna kazi huna nyumba unaishi kwa kaka au mjomba unalala sebuleni uhakika wa milo mitatu kama kina sisi tuko mikoani tuna uhakika na kesho unasema dar imeendelea Miundombinu mibovu kama nini mvua ikinyesha ndio utaijua dar bora kilimanjaro kuna maeneo dar maji hakuna umeme maji hakuna halafu unatamba imeendelea
 
Back
Top Bottom