Ukifika sehemu ngeni tafuta kwanza wenyeji wakutamburishe yaani leo yamenikuta hapa hapa jamii forum baada ya kuchanganya maada eti maada kuhusu punyeto nimeiweka katika international forum dah nimechekwa sana na nimejifunza nimeelewa ila daah ugeni noma so nitembezeni niyajue mazingira ya jamii forum.