Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 940
- 1,123
Huyu mwanadamu ni nyoka.
Alinipendaga sana. Tukatoka sana tulibary Sana na kula bata na kudingana, mwenzie mie nikizama na yeye alioza.
Wkt yeye akielezea Siri za ndani za Mr wake nikamuon hee huyu vipi ....? Mumewe ni ugonjwa na hali ya uchumi ya familia na kwakweli sikupendezewa na tabia yake.
sikupenda kuwa wazi kwake akaaza kuja na mpira yaani ndomu, na wakati mwingine hurudi nazo. Kwa mwanamke si poa Ile aibu ya kike ni muhimu sana.
Siku na miezi ilisonga nilijitahidi sana kuvunja mahusiano. Hatimaye nina amani kuachana na mtu tusiyostahili kuwa na mahusiano. Ni mke wa mtu na mimi bado ni under 30.
Tunakaa muda bila mawasiliano na hudai anamuhudumia mzee wake mumewe.
Jamani wanawake baadhi wenye haya majambo badilikeni.
Alinipendaga sana. Tukatoka sana tulibary Sana na kula bata na kudingana, mwenzie mie nikizama na yeye alioza.
Wkt yeye akielezea Siri za ndani za Mr wake nikamuon hee huyu vipi ....? Mumewe ni ugonjwa na hali ya uchumi ya familia na kwakweli sikupendezewa na tabia yake.
sikupenda kuwa wazi kwake akaaza kuja na mpira yaani ndomu, na wakati mwingine hurudi nazo. Kwa mwanamke si poa Ile aibu ya kike ni muhimu sana.
Siku na miezi ilisonga nilijitahidi sana kuvunja mahusiano. Hatimaye nina amani kuachana na mtu tusiyostahili kuwa na mahusiano. Ni mke wa mtu na mimi bado ni under 30.
Tunakaa muda bila mawasiliano na hudai anamuhudumia mzee wake mumewe.
Jamani wanawake baadhi wenye haya majambo badilikeni.