Mkuu ngongo bado umeacha kuishabikia arsenal?
Au umebadili mawazo,hauwezi kula muwa pasipo kukuta fundo,hata kwenye maisha ukiwa dhaifu hivo safari yako haiwezi kuwa salama,tupendane kwa shida na raha bana..maana kila kitabu na zama zake..
A ha ha haAlitangaza kuhamia Chelsea, sasa sijui kama hajafa kwa pressure aisee!!
etii eeee mke akiwa hazaii anaachwa? wkt kila kitu ancho burudani ipooo kisa mtoto tuuuu haiwezekanUtakuwa co shabiki wa kweli
Kamwe siwez acha ipenda Arsenal haijalishi mwelekeo wetu ukoje
Toka 2006 kabati ni tupuArsenal ilishashindikana siku nyingi
kabati la nini?Toka 2006 kabati ni tupu
Trophy cabinetkabati la nini?
FA siyo trophy?Trophy cabinet
Mbuzi cupFA siyo trophy?