Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
- Thread starter
- #101
ODM hapo kwenye kuandama nipo na wewe, uandame usiandame mi kesho ni IDD tu hata mkoloni analijua hilo. hakuna kitu kibaya ka unapika maandazi ya kesho then unakuta haujaandama! lol
mi kesho ni sikukuu bana!
Mkuu ODM nami nakuambia kamwe hautakua pekee kesho
huko pm utaniharibia swaumu,swaumu yangu ina ndimu inachacha haraka. see u baada ya iftah
<br />
<br />
<br />
<br />
babu nikukute wapi leo usiku?kumbuka tunaswali talawee
Husninyo kapangiwa arenjid merieji na mkulima mwenzake hapa JF anakwenda kwa jina la salanga, wazee wamempa mkwala akimkataa salanga hakuna urithi!
balaa!
Nimekupata,jitahidi kujali muda
Kwa babu ni pazuriiii ndugu tunapokaaa, tukipatana vyemaaa na tukipendanaa,
ODM hebu mwambie Daughter aje na mwenzake!
sitakupita mpendwa ntakupitia twende wote kwa babu
kwa babu kuna raha ya ajabu
Hahahaaaaaaaa
We mkareeeeeee
Ewaaaaa,
Kwa babu kwa meta meta kuonekana kulee mbaliiii....
Will wait for you Daughter
sasa acheni nitoke nje na kidarubini changu kuangalia mwezi! baadae bana fellow tablet aspirin na sweetheart, honeymoon, laaziz, sharbaati, mahbuba, sweetpie, heartbeat wangu Keren Happuch!
Babu nimekupigia weeeeeeeeeee mpaka nimechoka,ur tigo 4n is offfffffffffffffffffff,au umeme umekatika kwenye cm?
Asante, Lakini nitakuja nazo zangu
za babu huko zinakotoka sio tamu
kama za huku zenye vidoa doa
uje umetawadha kabisaa, afu kwani kama idd ni kesho leo tutakula daku?
<br />
<br />
Nyie wote hapo juu ndo mmeupakazia mwezi kwa Mungu mpaka umegoma kutoka....Inshaallah leo ntaenda kuutoa mwenyewe, hata kwa greda ikibidi. Kwanini mnaongea maofutopiki katika hii yuziful Chit Chat Sredi?heeh! mbona wimbo wa msiba tena? uko kwa bujibuji?
<br />
<br />