St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,645
- 11,153
Pasaka ikifika kuna walevi wengi hutoa ya moyoni hata kwenye makutano ya kifamilia walevi humwaga ugali na mboga yake.
Mbuzibee 🐐
Mbuzibee 🐐
Mbona mleta mada hajamtaja Malasusa wa KKKT ambaye naye ni Pengo number 2.Mkuu unafahamu, Katoliki kwa utaratibu wao Askofu ni mkuu wa eneo husika
Pengo alikuwa anashambulia mamlaka ya Dar es Salaam ambalo ndio eneo Lake la utawala
Kumbuka Mamlaka ya Dar es Salaam
ndio kuna Ikulu
Askofu wa Songea anatawala Songea hivyo anashambulia mamlaka zake za jimbo Songea
Kukuunga mkono unachokiongea, wanaoliogopa kanisa katoliki na kudhani ndilo linaweka viongozi wa kitaifa na kimataifa wengi hata sio wakatoliki au ni wakatoliki jina, kazi za wakatoliki ni far related from political sphere.Rais Mwinyi..makamu wake Anglican Malecela
Rais Kikwete makamu wake Dr Shein ..wote waislam
Rais Kikwete makamu wake Gharib Bilali
Wote waislam..
Sibishi nguvu ya Kanisa Katholiki
Ila sometimes tunawapa nguvu zaidi Kwa
Kueneza uzushi kama hivi
Unajua chanzo cha Malecela kupigwa Vita alipoutaka Urais?Rais Mwinyi..makamu wake Anglican Malecela
Rais Kikwete makamu wake Dr Shein ..wote waislam
Rais Kikwete makamu wake Gharib Bilali
Wote waislam..
Sibishi nguvu ya Kanisa Katholiki
Ila sometimes tunawapa nguvu zaidi Kwa
Kueneza uzushi kama hivi
Mkuu kanisa lina sura nyingi sana sanaMbona mleta mada hajamtaja Malasusa wa KKKT ambaye naye ni Pengo number 2.
Ni watu tu wengine wanaamua kutumika, kama alivyotumika Cyprian Musiba.
HahahahahaMoja kati ya topic ya kijinga sana kuwahi kuisoma tangu mama Samia ale kiapo cha kuwa Rais wa Tanzania.
Ndo uweke link sasa tusomeMkuu kanisa lina sura nyingi sana sana
Hao watu wanatumia gharama Kubwa sana kusomesha watu na hata kuwatisha kwa misaada
Ahaaa tatizo hamsomi
Unajua kwanini Vatican ni nchi ndani ya Italia?
Huu ndo ukweli mwenyeweIngawa ni topic ya kijinga but huu ndio Ukweli. Urais ni wa Islam na Catholic tu.
Islam ni kwa ajili ya kuonyesha kuwa nao wanakumbukwa but still Rais anakuwa loyal kwa Vatican atake asitake.
So Lutheran na wengine sisi tutulie tu.
Unajua kwanini Vatican ni nchi ndani ya Italia?
Protestants kushika Nchi ni ngumu, madhehebu mengine na dini zitashika nyadhifa nyingi za juu bila tatizo.
Ndg umeelewa kilichoandikwa na mtoa mada? Au na wewe umevimbiwa na pilau la kwa shemeji yako?Mkuu JK alipigwa Nyaraka na Pengo mpaka kuonekana Jamaa bwege
Huyu Huyu Pengo hajawahi mpiga nyaraka JPM
Kanisa katoliki lina sura nyingi sana sana
Usilichukulie poa, Hao ndio waliosababisha ukoloni Africa na unyonyaji
Walijenga makanisa sehemu zenye madini na kuwagawia wazawa nguo
Umewahi fika St Peters Basilica Vatican?
Pale kuna siri na historia nzito
Unamfaham Michael Angelo?
Ukifika Vatican na kutembelea makumbusho utakaa kimya
Hii Dunia kuna watu Walikuwa na akili sana sana
Unamfaham Raphael? Nenda Vatican
Watu walichora na kuchonga kwa 3D
Unajua waliosababisha kiswahili kikue?
Wakati huo Galileo Galilei Mwana sayansi alisema dunia Duara, Kanisa likisubiri Dunia ni tambarale
Unafahamu Galileo alipata nini?
Hawa Mapadri wa kizungu na wageni ni hatari kuliko unavyowaza
Basi mapandikizi wa CIA, Mossad wengi ni Mapadri tena weusi kama mkaa
Mapadre wengi weusi ni pandikizi wa mabeberu
Nashangaa wanasiasa wanatoa hotuba kanisani bila kuogopa Kuw ndio eneo hatari kuliko sokoni