Niliwahi kuelezea nguvu ya Kanisa Katoliki katika Siasa za Tanzania nikadhihakiwa, sasa taratibu nadhani tutaelewana tu!

Mkuu unafahamu, Katoliki kwa utaratibu wao Askofu ni mkuu wa eneo husika

Pengo alikuwa anashambulia mamlaka ya Dar es Salaam ambalo ndio eneo Lake la utawala

Kumbuka Mamlaka ya Dar es Salaam
ndio kuna Ikulu
Askofu wa Songea anatawala Songea hivyo anashambulia mamlaka zake za jimbo Songea
Mbona mleta mada hajamtaja Malasusa wa KKKT ambaye naye ni Pengo number 2.

Ni watu tu wengine wanaamua kutumika, kama alivyotumika Cyprian Musiba.
 
Rais Mwinyi..makamu wake Anglican Malecela

Rais Kikwete makamu wake Dr Shein ..wote waislam
Rais Kikwete makamu wake Gharib Bilali
Wote waislam..


Sibishi nguvu ya Kanisa Katholiki
Ila sometimes tunawapa nguvu zaidi Kwa
Kueneza uzushi kama hivi
Kukuunga mkono unachokiongea, wanaoliogopa kanisa katoliki na kudhani ndilo linaweka viongozi wa kitaifa na kimataifa wengi hata sio wakatoliki au ni wakatoliki jina, kazi za wakatoliki ni far related from political sphere.
 
Mbona mleta mada hajamtaja Malasusa wa KKKT ambaye naye ni Pengo number 2.

Ni watu tu wengine wanaamua kutumika, kama alivyotumika Cyprian Musiba.
Mkuu kanisa lina sura nyingi sana sana

Hao watu wanatumia gharama Kubwa sana kusomesha watu na hata kuwatisha kwa misaada

Ahaaa tatizo hamsomi

Unajua kwanini Vatican ni nchi ndani ya Italia?
 
Kama unasema hauwezi kuwa Rais au Makam was Rais bila kuwa mkatholic, hapo hapo unasema wa dini nyingine inabidi waende Vatican kujitambulisha....hauoni unajichanganya?

Kujitambulisha Vatican ndio kuwa mkatolik???
 
Ni kweli nimelisikia kitambo hili lakini ..hata Congo DRC Kanisa Katoliki lina nguvu sana kupanga safu za viongozi wake
 
Mkuu kanisa lina sura nyingi sana sana

Hao watu wanatumia gharama Kubwa sana kusomesha watu na hata kuwatisha kwa misaada

Ahaaa tatizo hamsomi

Unajua kwanini Vatican ni nchi ndani ya Italia?
Ndo uweke link sasa tusome
 
Ingawa ni topic ya kijinga but huu ndio Ukweli. Urais ni wa Islam na Catholic tu.
Islam ni kwa ajili ya kuonyesha kuwa nao wanakumbukwa but still Rais anakuwa loyal kwa Vatican atake asitake.
So Lutheran na wengine sisi tutulie tu.
Huu ndo ukweli mwenyewe
 
Catholic hawana nguvu yoyote ndio maana Ulaya imetapakaa kwenye vinchi masikini vya Eastern Europe,Africa na Latinos....nchi zote zenye nguvu Ulaya sio Catholics
 
Mkuu JK alipigwa Nyaraka na Pengo mpaka kuonekana Jamaa bwege

Huyu Huyu Pengo hajawahi mpiga nyaraka JPM

Kanisa katoliki lina sura nyingi sana sana

Usilichukulie poa, Hao ndio waliosababisha ukoloni Africa na unyonyaji

Walijenga makanisa sehemu zenye madini na kuwagawia wazawa nguo


Umewahi fika St Peters Basilica Vatican?

Pale kuna siri na historia nzito

Unamfaham Michael Angelo?

Ukifika Vatican na kutembelea makumbusho utakaa kimya

Hii Dunia kuna watu Walikuwa na akili sana sana

Unamfaham Raphael? Nenda Vatican

Watu walichora na kuchonga kwa 3D

Unajua waliosababisha kiswahili kikue?

Wakati huo Galileo Galilei Mwana sayansi alisema dunia Duara, Kanisa likisubiri Dunia ni tambarale

Unafahamu Galileo alipata nini?

Hawa Mapadri wa kizungu na wageni ni hatari kuliko unavyowaza

Basi mapandikizi wa CIA, Mossad wengi ni Mapadri tena weusi kama mkaa

Mapadre wengi weusi ni pandikizi wa mabeberu

Nashangaa wanasiasa wanatoa hotuba kanisani bila kuogopa Kuw ndio eneo hatari kuliko sokoni
Ndg umeelewa kilichoandikwa na mtoa mada? Au na wewe umevimbiwa na pilau la kwa shemeji yako?
 
Back
Top Bottom