Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Haya... Huyu ana dharau, atakefuata atakuwa na kiburi, mwingine baada ya kiburi atakuwa na wivu wa kijinga, na bada ya huyo atakuja mwenye "PAMDOMO"... Mwisho wa siku utaachana na kila mwanamke. Kwa mtindo huu ukitaka mkamilifu kila idara EIDHA UTOKE NA WEWE MWENYEWE au TOKA NA MUNGU... Nje ya hapo utakuwa unahangaika kukikimbia Kivuri chako, ambacho kila likikuwakia jua lazima lazima utakiona.Ana kila dalili za dharau na hivyo anastahili kibuti. Piga chini huyo.