Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Nina dem wangu ni nesi,mara zote shift zake zote ananiambia na tulikuwa tunakwenda samba. Hapa kati akaanza kunipa ratiba isoeleweka. Juzi nilipanga kukutana nae eneo letu tulilozowea na nikamsisitiza kuwa nina hamu nae akitoka saa 9 jioni ile kumwambia vile tu toka asubuhi cm yake haikuwa hewani! Mi jioni nikaenda eneo la tukio hola hakuja! Nikampigia cm akasema ndo kaingia shift ya jioni na akadai eti alipitiwa kunijulisha! Nimepanga kumpiga chini ushauri unatakiwa plz!