ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,121
- 5,332
Miaka ya 2010, goli moja ilikuwa buku, sasa imepanda hadi buku 2, na wana mlinzi wao wa kimasai. Ukizingua kulipa baada ya kuhudumiwa unadhibitiwa naye. Wengine Kama wale wapo tandika sokon kwenye uchochoro hivyohivyo. Huduma Zao Ni Nzuri Pia.
haha ukiuliza sababu ya gharama kupanda watakwambia dollar imepanda