sawa adam mchovu tumekusikiaWASAFI Festival ilikuwa ya kawaida sana tofauti na jinsi ilivyopewa promo na kundi ama wadau wa WASAFI. Ilikuwa kama show za kawaida ambazo zimekuwa zikifanywa na wasanii wa muziki hapa nchini. Nadhani tatizo kubwa ni kukosa wabunifu
Asante kwa kunisikiasawa adam mchovu tumekusikia
utagombana na mtoa mada hapo kwenye marinda😎uzuri ni kwamba kila mtu kaona iwe kwa live ama clip zinazotrend mitandaoni,wasiokuwa na marinda ndio watasema show haikuwa na akili
Na wewe hauna akili muda wote kuleta umbea wa insta hapa Jf, sasa huyo mdada ndyo nani awe wa taifaJiandae kuporomoshewa mitusi na watoto wa jf coz ukweli hawaupendi, wamefunikwa na wingu zito la ushabiki. Kule insta naona Dada wa Taifa ashachafua hali ya hewa kuhusu umiliki wa share za mond ndani ya wcb. Kaweka document ya leseni ya TCRA watoto hawaamini wanatoa mapovu tu. Wanahubiri mapinduzi ya burudani kumbe ni mvinyo wa zamani kwenye chupa mpya. Inanikumbusha mabadiliko ya UKAWA 2015 kuletwa na wazee wa CCM walioifisadi nchi zaidi ya miaka 40. Maajabu hayatoisha Afrika..
Mkuu utaambiwa huna rinda...Jiandae kuporomoshewa mitusi na watoto wa jf coz ukweli hawaupendi, wamefunikwa na wingu zito la ushabiki. Kule insta naona Dada wa Taifa ashachafua hali ya hewa kuhusu umiliki wa share za mond ndani ya wcb. Kaweka document ya leseni ya TCRA watoto hawaamini wanatoa mapovu tu. Wanahubiri mapinduzi ya burudani kumbe ni mvinyo wa zamani kwenye chupa mpya. Inanikumbusha mabadiliko ya UKAWA 2015 kuletwa na wazee wa CCM walioifisadi nchi zaidi ya miaka 40. Maajabu hayatoisha Afrika..
Hawezi kuwa nayo kama lipo basi moja tuMkuu utaambiwa huna rinda...
Eleza zaidi. "Ya kawaida" inakuaje...WASAFI Festival ilikuwa ya kawaida sana tofauti na jinsi ilivyopewa promo na kundi ama wadau wa WASAFI. Ilikuwa kama show za kawaida ambazo zimekuwa zikifanywa na wasanii wa muziki hapa nchini. Nadhani tatizo kubwa ni kukosa wabunifu
Hivi inakuaje mtu mwenye akili timamu anamuamini huyu dada?Jiandae kuporomoshewa mitusi na watoto wa jf coz ukweli hawaupendi, wamefunikwa na wingu zito la ushabiki. Kule insta naona Dada wa Taifa ashachafua hali ya hewa kuhusu umiliki wa share za mond ndani ya wcb. Kaweka document ya leseni ya TCRA watoto hawaamini wanatoa mapovu tu. Wanahubiri mapinduzi ya burudani kumbe ni mvinyo wa zamani kwenye chupa mpya. Inanikumbusha mabadiliko ya UKAWA 2015 kuletwa na wazee wa CCM walioifisadi nchi zaidi ya miaka 40. Maajabu hayatoisha Afrika..