Nilichokikuta baada ya kupekua chumbani kwa dada wa kazi

we ni -------- sana unawaza uzinzi tu c tunajadili ya msingi da chupi ya msichana wa kazi !!! narudia tena wewe ni -------- sana soma michango ya kujenga na kujifunza kwa wenzio maisha sio sex tu kama unavyozani ni zaidi ya hayo

Na we ......... hivyo hivyo kukicha kuleta thread za kuhusu housegal wako km humtamani ni nini...tena unavyoleta mada usitegemee kila mtu awe positive to u..remember that
 
Huyo mdada ndio anapika chakula kitamu Hapo home.....kwa uchafu huo Jiulize chakula kinakuwa salama??? Ukute hata pedi anavaa siku tatu,akinya hatawazi,akikata kachumbari hanawi mikono,akichuja nazi hanawi mikono.....tafuta Njia ya kushawishi mkeo mpekuwe wote....jifanye hujawahi kupekuwa ili my wife wako nae ajionee

nimemwambia wife amsaidie ktk usafi na achunguze soksi alizitumia kama pedi au alizificha tu
 
Aisee!!!!! Nadhani kiu ya upekuzi wote huo kwa h/g ni kutafuta soksi zako. Hongera kwa kuzipata soksi zako mkuu.
 
Omggggg umenipa darasa i gat to do thz also.wasichana weng wanapenda tumia matambara hata ukimpa ela hanunui mi nampiga biti staki mitambara kwangu kuanzia cku ya kwanza anaanza kazi
 
mwambie hivi dada akipita huwa nasikia harufu za ajabu ajabu alafu zifiche soks afu mwambie sizion mbele ya hausgal uone atababaika vip,kama rangi za hiyo soks anaijua mkeo
 
Kitanda inawezekana hakina cushion na anatumia hivyo vitu kuongeza cushion asiumie akilala.

Nasty though.
 
Hiyo kazi alitakiwa afanye mkeo.Kwa hali hiyo ninawasiwasi hata chakula mnachokula huwa sio kisafi.chumba cha msichana ni sawa na chumba cha watoto wife wako anatakiwa awe anakipitia kila Mara kuhakikisha usafi.Hao ndio wale wan
aosafishiwa vyumba Yao na hg poleni.Mwambie ukweli mkeo ulichokuta Kule chumbani ili ajifundishe kitu na pia aweze kumwambia dada kuwa badala ya kutumia vitambaa anunue ped.wasichana Wendi wametoka kijijini ambako ped hakuna .pole but god job.
 
habari wana jf
leo jmos nimeshinda home kwangu wife na binti wangu wa kazi wakatoka kidogo nikajisikia leo nipekue chumbani kwa dada wa kazi cheki mabegi nk mpaka chini ya kitanda hii inaitwa intelijensia ya nyumbani du nikakuta dada ameficha soksi zangu nzuri chini ya kitanda chake tena ndani ya mkeka matambala machafu ya hedhi yaliyotumika kafundika mavunguni tena ya mda mrefu da kazi kweli kweli ila swala la soksi zangu tena nzuri kuficha chini ya kitanda ndo sikuelewa ni imani fulani au bahati mbaya nawaza nimshirikishe wife amsaidie huyu binti usafi wake ila najiuliza wife atanishushua nini kuwua nimeanzaje tabia ya kupekua pekua mawazo yenu wandugu


Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima::
 
kama vile hujiamini.Na inaonekana wewe huna maamuzi na unalea upuuzi. Waite wote then waambie ulichoona na hatua inayofuata ifanyiwe kazi mara moja.
 
Mwambie waifu kuna panya ulikua unamfukuza akakimbilia chumbani kwa dada,ndo ukayaona hayo yote.
 
ewaaaaa dawa yake imekolea sasa! tayari ameshakuteka wala usijisumbue kueleza ulienda kutafta nini chumbani kwake hahaha mandingo raha sana! ila ukichelewa kumuondoa ataondoka mkeo just precautions!
 
Safi sana kwa ayo uliyoyafanya, awa mabinti siwakuamini kabisa, kuna wengine wanashirikiana adi na vibaka, unatakiwa kuwapeleleza ili ujue tabia zao.
 
Habari wanaJF,

Leo jumamosi nimeshinda home kwangu wife na binti wangu wa kazi wakatoka kidogo nikajisikia leo nipekue chumbani kwa dada wa kazi cheki mabegi nk .
Mpaka chini ya kitanda hii inaitwa intelijensia ya nyumbani du nikakuta dada ameficha soksi zangu nzuri chini ya kitanda chake tena ndani ya mkeka matambala machafu ya hedhi yaliyotumika kafundika mavunguni tena ya mda mrefu.

Da kazi kweli kweli ila swala la soksi zangu tena nzuri kuficha chini ya kitanda ndio sikuelewa ni imani fulani au bahati mbaya nawaza nimshirikishe wife amsaidie huyu binti usafi wake ila najiuliza wife atanishushua nini kuwua nimeanzaje tabia ya kupekua pekua mawazo yenu wandugu.

Soksi zako zitakuwa kwa matumizi ya hedhi inayoanza leo
 
unajua sijui kwanini umeenda kukagua kwa mfanyakazi wako tena wakati mkeo hayupo.kwanini hujamkagua mkeo? sio kwamba unataka kuhamia kwa mfanyakazi kweli wewe?
 
Hahahaha aisee acha nicheke manake hii ni bonge moja la mtihani, manake hapo ulipo mwenyewe kwanza..unawaza soksi zako kwanini ziko pale!! Pili..ukimwambia mama Chanja lazima atamind kwanza utaanza anzaje?, tatu..huyo dada wa kazi lazima Atakuona wack hatokuwa na Imani tena na wewe boss wake!!

Duu! Huu Mwandiko Kama Wa Sadick Vile
 
Back
Top Bottom