venine
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 1,458
- 1,567
mke wangu hana ishu tunaminiana tupo rum moja changu chake hata simu zetu hatufichi akijisikia kupekua namna yani full kuaminiana hadi raha
kama mnaaminiana na mkeo, kwanini unakuwa na wasiwasi khs kumwambia ukweli?
mi sioni tatizo kwa ulichokifanya, watu wanaokaa nyumbani kwako wapo chini ya imaya yako na mkeo, hawatakiwi kuwa huru kwa kiasi kikubwa. mi huwa nawaambia, full uhuru ni siku wakiwa majumbani kwao, sio kwangu.
hawa wadada wanakuwaga na mambo mengi, wengine washirikina, wengine wachafu sana msipoangalia mtalishwa mpaka mavi. mwambie wife awe anamnunulia pedi ili kuepukana na hiyo kero ya matambaa, maana pedi si bei kubwa