Kuna watu nawaona hawana akili au ni malimbukeni hivi unaanzaje mwanamke kumnyanyasa dada anaekuesaidia kazi hapo nyumbani kwako (housegirls) mtu ambaye anaingia nyumbani kwako kila sehemu, mtu unayamwachia hivyo vi akina juniors wako, mtu ambae unamwachia jikoni akupikie chakula na mtu unayempa nguo zako akufulie unamnyanyasa kweli.
Hivi unajua sumu ya panya inauzwa bei rahisi na inaua kibaya zaidi wauzaji wanakuja mpaka majumbani hivi akikasirika siku akapatwa na wazimu kwa mateso yako akanunua sumu ya buku akawawekea hao kina juniors wako utalia na nani kama hukuyatak mwenyewe.
Unaanzaje kumtesa na kumfokea mtu ambaye anaweza kupata nguo yako ya ndani hujui kwao wanaimani gani akiondoka na nguo zako za ndani zikachezewe kishirikina utalia na nani?
Mtu ambae anawapikia chakula unamwona takatak akiamua awawekee uchafu wowote anojua yeye mle utalia na nani acha uchizi
Kwangu mimi dada wa kazi nyumbani namheshimu kuliko hata baadhi ya rafiki na ndugu zangu, Mimi na wife tunashinda kazini tunamwachia watoto na tuna kitoto cha chini ya mwaka mmoja akiamua kukitengeneza atakavo nitalia na nani
Kwangu nmepiga marufuku dada wa kazi kuitwa dada cjui na wife au Mimi tinamwita kwa jina lake na kumheshimu kama mwana familia, acheni uboya wa kuwanyanyasa wadada wa kazi wengi wameahikilia sehemu ya furaha za maisha yetu,akikosea muonye kama mwanao usimuonee
Hivi unajua sumu ya panya inauzwa bei rahisi na inaua kibaya zaidi wauzaji wanakuja mpaka majumbani hivi akikasirika siku akapatwa na wazimu kwa mateso yako akanunua sumu ya buku akawawekea hao kina juniors wako utalia na nani kama hukuyatak mwenyewe.
Unaanzaje kumtesa na kumfokea mtu ambaye anaweza kupata nguo yako ya ndani hujui kwao wanaimani gani akiondoka na nguo zako za ndani zikachezewe kishirikina utalia na nani?
Mtu ambae anawapikia chakula unamwona takatak akiamua awawekee uchafu wowote anojua yeye mle utalia na nani acha uchizi
Kwangu mimi dada wa kazi nyumbani namheshimu kuliko hata baadhi ya rafiki na ndugu zangu, Mimi na wife tunashinda kazini tunamwachia watoto na tuna kitoto cha chini ya mwaka mmoja akiamua kukitengeneza atakavo nitalia na nani
Kwangu nmepiga marufuku dada wa kazi kuitwa dada cjui na wife au Mimi tinamwita kwa jina lake na kumheshimu kama mwana familia, acheni uboya wa kuwanyanyasa wadada wa kazi wengi wameahikilia sehemu ya furaha za maisha yetu,akikosea muonye kama mwanao usimuonee