hapo mie ndo nasemaga kila siku humu, kuna wakati hutakiwi kuufuata moyo..,hapo akili ndo inabidi kutumika. huo moyo unaoufuata utauponza mwili na wote mtaenda kuzimu.. Unachukua mume wa mtu alaf unasema 'eti kumuacha haiwezekani' nyambafJamani ni mkristo ila swala si ndoa bali mapenzi, na huwezi uchagulia moyo yupi wa kumpenda
Una enjoy sana eeeeh? Subiri utakapoolewa na ww ndipo mumeo atakapomegwa utakavyojisikia ndo anavyojisikia mwenye mume=mwosha huoshwa piaHabari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
[/B]Umenisikitisha sana kwamba kumuacha mme wa mtu haiwezekani kwani ni mmeo huyo? tena unasema ndipo mlipoanza uhusiano officially nani kakudanganya kuna official kwa mme wa mtu? shehe/padri/mchungaji aliwahalalishia? sijaona mwanamke KING`ANG`ANIZI kama wewe.Endelea lazima itakutokea puani siku Mungu atakapokulipa uovu huo juu ya kichwa chako mchana kweupe.
Unaharibu familia ya wengine unakuja kutafuta ushauri ole wako we dada nakuonya kabla mwaka huu haujaisha nayo kuambia ukiendelea lazima yakutokee ili iwe fundisho kwa watu wenye roho ya zinaa kama yako.Badala ya kuendelea na huyo asiye na mke unajiona shujaa kupora waume wa wenzio kisa MD? unajua alikotoka na mkewe nawe unakuja jipitisha.
NAKUHAKIKISHIA MALIPO UTAYAPATA SI MUDA MREFU.
Ungejiheshimu ungebeba wame za watu acha kukoromea watu wanakuambia ukweli zinduka we mwana dada.Nashindwa kuelewa lipi linakufanya ung'ang'anie mume wa mtu jamani?Jiamini hata kama una sura kama mama Anna Mkapa una stahili kupata chako cha peke yako dia.
MAlipo yake atayapata lini?wakati wa kujifungua?[/B]Umenisikitisha sana kwamba kumuacha mme wa mtu haiwezekani kwani ni mmeo huyo? tena unasema ndipo mlipoanza uhusiano officially nani kakudanganya kuna official kwa mme wa mtu? shehe/padri/mchungaji aliwahalalishia? sijaona mwanamke KING`ANG`ANIZI kama wewe.Endelea lazima itakutokea puani siku Mungu atakapokulipa uovu huo juu ya kichwa chako mchana kweupe.
Unaharibu familia ya wengine unakuja kutafuta ushauri ole wako we dada nakuonya kabla mwaka huu haujaisha nayo kuambia ukiendelea lazima yakutokee ili iwe fundisho kwa watu wenye roho ya zinaa kama yako.Badala ya kuendelea na huyo asiye na mke unajiona shujaa kupora waume wa wenzio kisa MD? unajua alikotoka na mkewe nawe unakuja jipitisha.
NAKUHAKIKISHIA MALIPO UTAYAPATA SI MUDA MREFU.
Mbona unamtisha mwenzio as if you are God???? Kama wewe ni mhubiri Injili mwambie Neno la Mungu na sio vitisho!
Kumwacha mume wa mtu hutaki sasa unahitaji ushauri gani tena? Haya nenda kamweleze mke mwenza kwamba umemchukulia mumeHabari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
Cheka leo kesho utalia. Hujui unachoitaji kaika maisha yako na nina wasiwasi na elimu yako ama ndo vyuo vya barabarani huwezi kupambanua hata mambo ya maisha yako... kila la heri..Habari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
Siamini!Jamani ni mkristo ila swala si ndoa bali mapenzi, na huwezi uchagulia moyo yupi wa kumpenda
habari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? Nb:kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.