Mmmmmmmmmmmmmmmmm... date leo na DMussa, venue NBI city...kwi kwi kwi kwi...harusi hapa hapa JF!!!!!
ahahahahhahaha duh!!!!!!
r u sure sio kawivu broda?Upuuzi mtupu kwa nini usinge pm.
hakya nani dunia imefikia mwisho ninyi wote si midume nyie?sasa mnadetiana tena hadharani?
U know....basi tu hatutakii mema!
izi zat tru shishi?.................. astaghafurullahihakya nani dunia imefikia mwisho ninyi wote si midume nyie?sasa mnadetiana tena hadharani?
MBONA wasanii wa kibongo hukuwataja?Karibuni mfunge ndoa kanisa la Anglika, watumbuizaji ni Elton J na baadhi ya wasanii wa kibongo