Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,724
- 9,176
Njo nae mpwapwa bwana mnitumbuize huku.ukija dar ntakupeleka ukamwone Mzee yusuf siku hizi anatumbuiza maisha Club jumatano sio uswaz.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njo nae mpwapwa bwana mnitumbuize huku.ukija dar ntakupeleka ukamwone Mzee yusuf siku hizi anatumbuiza maisha Club jumatano sio uswaz.
watimue sasa karibu na computer ya mfukoni inayobebeka kwe viganja kama yangu.watoto hawajalala bado, usiongee matusi.
kama b.i.k.i.ni ni matuc t.a.k.o ni kicheko?2napewa zile vyupi zinafichwa na t.a.k.o. Lol.Hivi tupo jukwaa gani?
watoto wa siku hz wabishi. Si unamuona mtoto uporoto hapo chini? Nishamtumia msg ya gd nt ila bado kakomaa.watimue sasa karibu na computer ya mfukoni inayobebeka kwe viganja kama yangu.
t.a.k.o sio tusi wewe, ni kiungo cha mwili.kama b.i.k.i.ni ni matuc t.a.k.o ni kicheko?
kwa ajili yako wala usihofu,mzee yusuf pekee au na asha mashauzi nimlete.Njo nae mpwapwa bwana mnitumbuize huku.
anapenda yale mambo yetu! Hebu mmbembeleze bwana alale sisi tuingie chumbani.watoto wa siku hz wabishi. Si unamuona mtoto uporoto hapo chini? Nishamtumia msg ya gd nt ila bado kakomaa.
kwa hiyo hata ..uma sio tusi?t.a.k.o sio tusi wewe, ni kiungo cha mwili.
Duh mkuu utakuwa na subira sana weye bembeleza yangu mpaka majogoo hahaha!anapenda yale mambo yetu! Hebu mmbembeleze bwana alale sisi tuingie chumbani.
utatufukuzia ndege wetu mkuu,huwezi jua labda leo kasikiliza ule wimbo wa 'nalala na wewe' lol!kwa hiyo hata ..uma sio tusi?
mhhhh! Unapenda raha weye? Utasubiri hadi majogoo? Utasinzia kesho kwenye group discusion.Duh mkuu utakuwa na subira sana weye bembeleza yangu mpaka majogoo hahaha!
ushawaona ehh? Usinione niko na via mobile lkn nshawaona kupitia PC mode, wambie waache umbea, waingie dimbani.jamani hapo chini naona 11 members mbona kimya mshaurini kijana wenu na nyie 12 guests vibaya kuchungulia usiku jisajilini tu wajameni hahaha!